Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,187
Poleni wafiwa na Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi, amina
Hivi ni weusi wote au ni sisi wa-TZ tu?
Hivi ni ugonjwa gani huu? Yaani unakuwa mvivu kiasi hicho?
Duniani tunapita tu jamani!
jaji mstaafu Ernest Mwaipopo afariki kwa dunia kwa ajali ya gari Morogoro.
source ITV Breaking news saa 11.30
rip....jaji mteuliwa wa jk. any way ateteuwa mwingine.....
Jaji mstaafu Ernest Mwaipopo afariki kwa dunia kwa ajali ya gari Morogoro.
source ITV Breaking news saa 11.30
unapatamani hapo alipokuwa nini
Mkuu asante kwa taarifa masahihisho kidogo Jaji Mwipopo sio Mwaipopo! Ni mhehe! Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi
Mungu ailaze roho yake
mahali panapomfaa, vipi mleta uzi, nini sababu ya kifo chake ugonjwa?
Ajali au??
umepagawabajeti ya wajumbe wa katiba ilikuwa kubwa sana kupungua kwa kichwa kimoja malipoyake yaongeze madawati kule monduli rip