Tanzia: Diwani wa kata ya Nasai Siha, Allen Mossi (CHADEMA) afariki dunia

Imma Saro

JF-Expert Member
Dec 19, 2012
394
197
Taanzia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Siha kimepokea kwa maskitiko makubwa kifo cha kamanda Allen Mossi, diwani wa kata ya Nasai na katibu mwenezi jimbo la Siha Kilimanjaro. Ni msiba mkubwa kwa chama na wapenda mabadiliko wote. Mipango ya mazishi inafanyika Nasai Siha.Kilimanjaro.

Tutamkumbuka kwa mema yake yote.

 
Aliyekuwa diwani katika kata ya Nasai wilaya ya mkoa wa Kilimanjaro ndugu Allan B. Mosi amefariki dunia siku ya jumanne tar 16/9/2014 baada ya kuugua.

Natoa pole kwa uongozi pamoja na wanachadema wote!
 
Pole sana wafiwa, ndugu na jamaa wote..

R.I.P kamanda Nasai.

Wasalimu wote makamanda waliotutangulia, wambie mapambano yanakalibia kuisha, tunachukua dola 2015.
 
Rorya;tunawapa pole sana makamanda wote,viongozi wa chama,familia.Namkumbuka sana kamanda maana tulikutana naye Arusha,nikamwomba aje Rorya atusaidie na kukubali,Amekufa akiwa anatetea Tanzania mpya.
 
Pumzika pema Baba yangu mzazi,mwanao Nitakukumbuka daima wewe mbele sisi nyuma,R.I.P DADY.your son GODSON ALLAN B. MOSI
 
Back
Top Bottom