Tanzia: Diwani wa CCM Ifakara afariki dunia!

Tanzia: Diwani wa CCM Ifakara afariki dunia!

Alale kwa amani ipi wakati alikua bingwa wa uchakachuz.afetu huyo na akajionee adhabu yake huko sisi tunaendelea na m4c,ukiipinga chadema lazima ufe mapema sauti ya weng nisauti ya mungu,japo hii kaulimbiu wa nataka kuiba watu wa mabwe

mtindio wa ubongo
 
Kauli na comment zinazotolewa na vijana wa chadema humu si za kibinadamu ndio mana bavicha inameguka meguka
 
Mkubwa! Kweli jamaa alikuwa kijana,ila hapo kwenye red unataka tujifunze nini toka kwake? Hivii jamaa ulikuwa unamjua in deep? Mbona jamaa alikuwa cRizki tangu akiwa tashrifu! Kwa ufupi jamaa hakuwa na lolote la kuigwa,kijamii, kisiasa na hata kiutendji. Alikuwa na kiburi.

Ana mke na watoto huyu.
hata hivyo kajitahidi kuiongoza halmashauri ya Kilombero.
 
Jamani enyi Mashabiki wa CHADEMA sio wakati mzuri wa kumtusi marehemu, kwani humu humu tulimpa Rambirambi Regia Mtema na hatukuona matusi, mm sasa siamini km Mods wanayaangalia maupuuzi haya ya Siasa mpaka zinaleta ugomvi wa kuombeana mtu aende Jehanamu kwa ajili tu yuko CCM
BAVICHA ina kazi acheni iparaganyike na Nchi Asilani hamtaichukua na huyo mungu wenu labda kije Chama kingine
 
Habari zilizo nifikia sasa hivi kwa njia ya ujumbe mfupi zinadai m/ kiti wa H/mashauri ya W kilombero Ramadhani kiombile amefariki dunia jana.
 
Kata tayari ipo wazi hiyo tujipange tuichukue. Poleni wafiwa
 
Mwaka wa mavuno!magamba jiandaeni kwa kutubu dhambi zenu.R.I.P
 
Back
Top Bottom