Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,355
- 108,486
Ngwizujulu jilala amefariki? huyu mganga kitambo sijamsikia kitambo na matangazo yake
Ng'wizukulu alishafariki kitambo...
Si ndie aliyekuwa amemuoa norah wa kaole
Norah aliolewa na Ng'wizukulu...
Ngwizujulu jilala amefariki? huyu mganga kitambo sijamsikia kitambo na matangazo yake
Si ndie aliyekuwa amemuoa norah wa kaole
Matunge = misukule ktk lugha ya kisukuma..
Ngwizujulu jilala amefariki? huyu mganga kitambo sijamsikia kitambo na matangazo yake
Si ndie aliyekuwa amemuoa norah wa kaole
Kwani matunge na jilala ni mmoja?
Hivi waganga, waganguzi, wanga, wa uchawi na warozi wanaurithi ufalme UPI?
Heri wafu wafao katika Bwana wapate kupumzika
Umechemka vibayaaaaaa!!Matunge = misukule ktk lugha ya kisukuma..
Kumbe nao huwa wanakufa?Longtime sana hakuwa hakisikika, kumbe alikuwa bado yupo! RIP Matunge
Kwani matunge na jilala ni mmoja?
Mkuu ha huyo binti aliishia wapi?Chief Matunge ni mwingine na Nkwizukulu Jilala ni mwingine
Chief Matunge ambaye msiba wake ndio unatangazwa humu ni mtu mzima kidogo na alikuwa Dar kisha akahamia Morogoro,
Nkwizukulu Jilala (Ongw'ana O Shimba Nangwe Shimba) yeye alikuwa kijana na ndio kuna kipindi alimuoa huyo msaanii unayemtaja, kutoka Tanzania aliamishia makazi yake Namibia kisha angaingia Angola, Kifo chake kilikuwa cha kupigwa risasi zisizohesabika huko Angola baada ya kushutumiwa ni tapeli
Si ndie aliyekuwa amemuoa norah wa kaole
Hayo mwachie Mungu ndiye Anajua. Kamwe usitie busara zako za kibinadamu na kuhukumu watu.Hivi waganga, waganguzi, wanga, wa uchawi na warozi wanaurithi ufalme UPI?
Heri wafu wafao katika Bwana wapate kupumzika
yule si aliaga dunia kitambo? huyu ni meingine kabisa
Siyo kazi yako hiyo period. Unajuaje kuwa hakutubu? Unajuaje hakumwamini na kumkiri Yesu? Wewe hangaika na wokovu wako na achana na waliotangulia mbele ya haki. Unajua hata marafiki wa yule jambazi aliyesulubiwa pamoja na Yesu akaokolewa dakika za mwisho pale Golgotha wanaongea kama ww kwamba msela alienda motoni? Mwacheni Mungu Aitwe Mungu!kama hakutubu thijui na kama hakumwamini na kumkiri Yesu hapo jibu lipo wazi anapoenda
Ameshindwa kuzuia kifo