Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Ndugu wapendwa,
Wale wafanyakazi wote waliokuwa ATC na waliofanya kwenye ndege za serikali, asubuh ya leo tumeondokewa na mpendwa wetu capt. Chekingo.
Amefariki akiwa anafanya kazi ATCL.Ni wakati wetu kuombea wale ndugu na marafiki waliofikwa na huzuni hii kwa kushirikiana nao katika hali na mali kuweza kuulaza mwili wa marehemu kwenye nyumba yake ya milele.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Wale wafanyakazi wote waliokuwa ATC na waliofanya kwenye ndege za serikali, asubuh ya leo tumeondokewa na mpendwa wetu capt. Chekingo.
Amefariki akiwa anafanya kazi ATCL.Ni wakati wetu kuombea wale ndugu na marafiki waliofikwa na huzuni hii kwa kushirikiana nao katika hali na mali kuweza kuulaza mwili wa marehemu kwenye nyumba yake ya milele.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.