Enzi hizo Yuvisisimizi walikuwa na akili timamu sana. Siku hizi ni matusi tu mtandaoni, hoja nyepesi kama za cocochanel .Vijana Jazz aka Wana Air Pambamoto walitisha sana enzi hizo hasa kile kibao kuhusu safari yao ya Bujumbura ambako walikula wali na sombe.
Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bw.Said Mwambungu amefariki dunia katika hospitali ya Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na matatizo ya figo.
Mwenyezi Mungu amlaze Mahala Pema,Amina.
View attachment 508155
View attachment 508162
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Said Said Thabit Mwambungu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016.
Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Bw. Said Thabit Mwambungu alihamishiwa Ofisi ya Waziri Mkuu Dar es salaam ambako Rais Magufuli alisema atapangiwa majukumu mengine. Nafasi yake ilijazwa na Dkt. Binilith Satano Mahenge.
Nakumbuka miaka ya 90 tulikua tunamaliza shule rafiki yangu akaniambia hii picha tulio piga ya pamoja miaka ijayo kama utakua nayo itakua imejaa X.Enzi hizo Yuvisisimizi walikuwa na akili timamu sana. Siku hizi ni matusi tu mtandaoni, hoja nyepesi kama za cocochanel .Vijana Jazz aka Wana Air Pambamoto walitisha sana enzi hizo hasa kile kibao kuhusu safari yao ya Bujumbura ambako walikula wali na sombe.
Hakutumbuliwa alirudishwa ofisi ya waziri mkuu kwasababu alikuwa mgonjwaRais alimtumbua huyu ndugu pamoja na yule Ntibenda wa Arusha. Walikuwa kiserikali zaidi kwenye utawala wao mzee akaona hawafai. Akasema atawapangia kazi nyingine hadi yanamkuta haya hajapangiwaga kazi.
Wengine wanatoka kanda maalum na wengine ni wajeda mkuu...Wakuu msiandike tu R.I.P huo ni kama ubabe , ni vema muanze na neno hili , " MAY HIS SOUL "
Enzi hizo Yuvisisimizi walikuwa na akili timamu sana. Siku hizi ni matusi tu mtandaoni, hoja nyepesi kama za cocochanel .Vijana Jazz aka Wana Air Pambamoto walitisha sana enzi hizo hasa kile kibao kuhusu safari yao ya Bujumbura ambako walikula wali na sombe.