TANZIA: Afisa wa TAKUKURU auawa

TANZIA: Afisa wa TAKUKURU auawa

ilikuwaje
usalama wa bunduki unafunguliwa
risasi inaenda chemba
taiga anabonyeza
risasi inatoka
bahati mbaya kweli?
hafai kupewa au kumiliki siraha
uzembe wa hali ya juu

wabongo wengi hawajui bunduki. wanadhani inafyatuliwa kama unavyowasha swichi ya taa ya umeme, yaani unabonyeza tu mara moja. bunduki ina hatua hizo alizotaja jamaa yetu hapo. Huwezi kuwa kwenye sherehe alafu una bunduki imefunguliwa usalama labda kama ulikuwa na kusudio la kuifyatua.
 
Jamani tupeni majina yote. Aliyeuawa anaitwa nani na aliyeua anaitwa nani? Mambo ya bahati mbaya au makusudi yapo juu ya uwezo wetu humu JF.
 
niko hapa msibani ni simanzi. Marehemu anamtoto wa chini ya mwaka mmoja. Analia anamtaka *****. Usiombe.
 
Mmmmh! Walienda kukamata rushwa kwenye sherehe? Nani alimruhusu kuingia na silaha kwenye sherehe? Lakini mtu akishakuwa askari anakuwa hamnazo automaticaly.
 
  • Thanks
Reactions: PSM
.................. Bahati mbaya kweli .... !!!!! ndio leo nasikia risasi za watu wa TAKUKURU zinafyatuka.... R.I.P.
 
Hatukai mtu kumiliki silaha ila kama ni kwenye sherehe na hapakutokea purupushani zozote iweje silaha iwe on na kuruhusu risasi kutoka na je siku hizi silaha zinabeba kwelekeza mdomo juu au marehemu ni mbilikimo ndio maana risasi ikampata kichwani
 
polisi wanauwa raia wanaita bahati mbaya
kila tukio la kuuwana kwa risasi tuite bahati mbaya
kwenye sherehe silaha ya nini?
tutajuaje kama hakuwa na intentio ya kumuua?
polisi chunguzeni hii kitu kwa ustadi mkubwa mtajua ukweli
 
WHAT?mbona Mimi nimechanganyikiwa nashindwa kuunganisha mambo au Ngoja Mimi nipite tu mwaya.
 
Mh hii ndio Tanzania kwenye sherehe na mibunduki ya nn?ona sasa wamebundukiana! Walizurumiana rushwa hao hao hawana lolote lol!
 
r.i.p kamanda..poleni pccb kwa kumpoteza kamanda mwenzenu
 
Mauaji ya kuhusisha vyombo vya dola Tanzania yanazidi kuwa kitu cha kawaida. Hii ni dalili mbaya sana katika dunia ya leo
 
Duuh kuna Demu mmoja wa Takukuru namchimbaga Mkwara sasa itabidi niwe na simile loh! kumbe wanatembea na miguu ya Kuku.
 
It happens jamani manake hata mimi ilishawahi kunitokea bahati nzuri nilikuwa nimeelekeza chini
Mkuu ningeomba sn uelezee kwa kina ilikuwaje. Kwa sababu mimi nijua risasi haiwezi kufyatuka yenyewe bila ''kuandaliwa''
 
Back
Top Bottom