Tanzannian politics

Tanzannian politics

MINOR THREAT

Member
Joined
Jul 17, 2010
Posts
6
Reaction score
0
Vipi, mimi ni mpya huku TZ, nilianza kuishi hapa kwanzia Januari. Afu, katika ya mooda mfupi nilikuwa huku, niliona TZ mukona party moja ,CCM, na watu wakona maoni tofauti kuhusu CCM. Nieleze ni nini mbaya nao? Rafiki moja, aliniambia, wako disorganised lakini, ye huwapigia kura kwasababu zile chama vingine ziko zaida disorganised kuliko CCM? Give me an outlook abt them nd siasa za TZ in general..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom