Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 485
Manina imekula kwao
Imekula kwetu mkuu hao wamejiibia ili na kwenye kodi (Kama wameshaanza kulipa maana wako kwenye honey moon bado) waonewe huruma.
Manina imekula kwao
Asante kwa kutuhabarisha mkuu lakini naomba nitofautiane na wewe hapo juu kwa kuwa wizi mkubwa wa madini unafanyika kila siku kwenye mikataba yote ya kijinga tuliyoingia na hawa wazungu, hicho walichokomba hao jamaa ni kiasi kidogo sana ukilinganisha na kile wanachotuibia jamaa kila siku. I believe this is the way forward kwa wazawa walalahoi, tubuni vyanzo zaidi vya kuonja keki ya taifa..