kweli kabisaKila mtu huwa anavuma alichopanda. The problem is how they behaved here in tanzania. they did not behave like a Tanzanian, they did not love Tanzanian and mistreated them, they harbor and marry fellow Tutsi only and above all they have no respect to our leaders
Kule Goma DRC walianza hivyohivyo kwamba wamekwenda kutafuta malisho tu ya n'gombe. Sasa hivi wanasema ni kwao sababu wamekaa sana!. Sheria gani duniani inasema unaweza kywa raia wa sehemu kwa kukaa muda mrefu tu sehemu husika? Na uliingia sehemu hiyo baada ya uhuru?. Ni lazima uukane uraia wa wazazi wako kisha uombe upya uraia qa nchi husika. Hakuna njia ya mkato. Bila hivyo siku zote utaitwa illigal immigrant.
Mutakyamirwa;7288811]Nguruvi3, MkamaP, FM et al nimependa mjadara wenu hapo juu. Nawapongeza. Ni sehemu moja tu ninapohoji kuwa 'wanyarwanda ndo majambazi' kama anavyosema Nguruvi3...hii ni nikuchukulia wahamiaji hawa ktk ujumla usiosahihi.
mnachopaswa kujua nikuwa wahamiaji hawa wako hasa ktk mikoa ya kigoma, Kagera na kwa sehemu Mwanza/geita makundi yafuatayo: 1) Wahamihaji wa kitutsi waliotokana na ukimbizi miaka ya 52, 60, 72 (wakiwemo waliovuka kwa sababu za kiuchumi na kijamii mbali na ukimbizi)Kundi jingine ni lile la 1994 mpaka hivi jaribuni kwa sababu za kivta lakini pia wakiwemo wa chache kwa sababu za kiuchumi ba kijamii pia. Makundi hay yote ni nchanganyiko wa makabila ya kiutu na kitusi kutoka nchi za Rwanda na Burundi.
Ktk harakti za kurudisha wakimbizi hasa wa miaka ya 90 wachache wao walipenya na kuishi kama watanzania. Wale wa 1960s '72 wengi wao walipewa 'uraia' bahadhi yao wakarudi kwao hata kama walikuwa wamepewa 'uraia'.
Miaka yote iyo serikali haikuonekana kuchukua hatua mathubuti kumaliza matatizo hayo. Nakama ilifanya ilikuwa ni kiwango kidogo na dhaifu kwa jugubikwa rushwa na upendeleo.
Hali ya usalama iliendelea kuwa mbaya pale Tanz ilipooneka kusupport uasi wa nchi jirani ya Burundi....silaha zilizagaa, na mara nyingi maeneo ya kigoma...manyovu..ngara...wizi wa silaha nzito nzito ulianza. Ushahidi wa tnz kusupport waasi wakitokea makambi ya kigoma na ngara uliendelea kubadilisha hali ya usalama kuwa mgumu hata kwa vyombo vya usalama.
Kundoa wahamihaji haramu halipingiki na muhimu lakini cha kuangalia ni kama wengi walivyo changia....ubinadamu, sheria na ...
Mtakyamirwa,ningepnda kuzirejea hoja zako bila mpangilio ili kuleta mantiki ya kile nilichokusudia.Mkuu,
Nimejizuia sana ktk mijadara hii kuihusisha na siasa na ndivyo inavyopaswa lakini sivyo. Ni ktk mijadara hii mambo yanalekebishwa. Mwelekeo wa sasa ktk vyombo vya habari unaanza kuwa mzuri.....mfn wakongo 2, waganda 4, wakenya 10.....mikoa ya kati na dar. Kama serkali imelitambua hilo fine....Tnz itakuwa ya watzn na malihasiri za watzn.
Mwanzo mwa tamko hilo na mwendelezo wa matamko...na yaliyoendelea huko Kagera yameonesha ubaya wa iana zote...' hayo makaratasi ya uraia wa Nyerere ' wazalendo' wamechana, wamechukua mpaka pesa itoke....na kwakuwa wengine ni wafugaji ngombe wamechukuliwa.....wanefia ofisi za polisi....
Ilo siyo tatizo kwa 'wazalendo'. Tatizo ni kundoa 'hema empire'
hamkutaki kwenu Kuzuri...
Unasahau kwamba hii mipaka tuliwekewa na Wazungu wakati wa mkutano mkuu wa Berlin? Hivi leo ukimkuta Mwita aliyeko Musoma utasema aende kwao ni Kenya kwakuwa tu anaitwa Mwita? Kwanza nakubalina kuwa wahamiaji haramu NO, lakini hili suala la Ku- generalize kwa majina au pua ndefu, nakwambia si kigezo sahihi. Tukimaliza hao tutarudi hapa kwetu kuna wahindi na Waarabu tena ambao wakati wa ukoloni koo zao zilikuwa madaraja ya juu, mbona leo ni WaTz? JK alipotoa tamko hilo alikuwa sahihi, lakini nakwambia hivi kwa baadhi ya askari wetu huu utakuwa ni mradi tu wa kukusanya fedha na kupora
Why do they whip the immigrants? Tanzanian police ar just so full of themselves!