UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,446
- 5,419
Unavyotoka povu utafikiri a tuna system zinazoeleweka Mtazidi kuonewa mpaka na mchina kwa sababu mnapokaa madarakani hamjegi institution mnajega mtu akiondoka na mwingine anakuja na yajke huwa nashangaaWajinga Sana wachina Bora tuwe kama Zimbabwe. Ila Sisi tuna matatizo na mchina Sio mzungu au Muamerika . Kwasasa Mchina Hana uwezo wa kutuharibia uchumi labda angekuwa bwana Trump. Trump hatuna shida nae