Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls

Eenh Hee, hilo li-Mkataba si nachana tu hilo likaratasi? Nenda kashitaki unakopenda, utajenga hiyo biashara yako utaipitisha wapi hadi ifike au itoke bandarini kwako?
Sio rahisi hivyo ,zamani nilipokuwa sio kiongozi nilifikiri the same way lakini sio tunavyofikiria ndio maana kusaini mkataba hata uwe wa ndoa jihoji mara mbili niko tayari?nimeelewa?what will be consequence nikiuvunja !nitakuwa tayari kuhandle so just simple example.Kwa mikataba ya nchi ,inatu affect kila kitu kiuchumi ikiwa watatushitaki na wakashinda ,we have to pay tusipolipa wanashika naything iliyo nje ya nchi ,kingine unakuwa listed kuwa ni nchi yenye matatizo ya kiuwekezaji na wanaweza kuku block hata business usifanye ,restrictions kwenye kusafiri nk.I have been in Zimbabwe ,kwa sasa hata currency yao hawawezi kutumia wanatumia kitu kinaitwa "bond" na currencies za nchi nyingine kama US dollar ,SA Rand nk.
 
Hawawezi kutuchezea kama watoto wadogo, mzee kikwete katika kusifiwa kwa uongozi mzuri kote lakin alikuja kupoteza hapa kwenye gas na bandari
 
Shida ilishasainiwa, Sasa implementation itafanyika tu SiSiM ilishatuingiza chaka. Mkataba ni mkataba ukishawekwa sahihi. Watasubiri Magufuli atoke madarakani au watakwenda mahakamani hapo ndio panaogopesha anyway big up awamu hii
Sio kweli. Wangesaini huu mjadala usingekuwepo. Wachina wangekuwa site wanajitengenezea ulaji.
 
Shida ilishasainiwa, Sasa implementation itafanyika tu SiSiM ilishatuingiza chaka. Mkataba ni mkataba ukishawekwa sahihi. Watasubiri Magufuli atoke madarakani au watakwenda mahakamani hapo ndio panaogopesha anyway big up awamu hii
Unaelewa maana ya framework agreement ?
 
Unaelewa maana ya framework agreement ?
Sijui ila agreement ni agreement haina mbwembwe na according to definition "In the context of procurement, a
framework agreement
is an
agreement
between one or more businesses or organisations, "the purpose of which is to establish the terms governing contracts to be awarded during a given period, in particular with regard to price and, where appropriate, the quantity envisaged".
So cha muhimu usisign kabisa kama unawalakini ukisha sign ni discretion ya mtu huyo mwingine kukubali mu amend mkataba akubaliane na matakwa yako
 
Jina linalowafaa ni Nyumbu hawaelewi hawasikii
Sawa Nyumbu hawailewi waliou sign wanaelewa ?nyie mnafikiria kila saa ni upinzani na hapo ndipo tunapofeli.Spika ni CCM au nani sasa anayeshangaa kama mimi.Wakati ni the same serikali imesign ?mkataba ukishaaanguka na muhuri wa serikali ni kasheshe sio mchezo uwezi kuukataa kupitia vyombo vya habari
 
Sio rahisi hivyo ,zamani nilipokuwa sio kiongozi nilifikiri the same way lakini sio tunavyofikiria ndio maana kusaini mkataba hata uwe wa ndoa jihoji mara mbili niko tayari?nimeelewa?what will be consequence nikiuvunja !nitakuwa tayari kuhandle so just simple example.Kwa mikataba ya nchi ,inatu affect kila kitu kiuchumi ikiwa watatushitaki na wakashinda ,we have to pay tusipolipa wanashika naything iliyo nje ya nchi ,kingine unakuwa listed kuwa ni nchi yenye matatizo ya kiuwekezaji na wanaweza kuku block hata business usifanye ,restrictions kwenye kusafiri nk.I have been in Zimbabwe ,kwa sasa hata currency yao hawawezi kutumia wanatumia kitu kinaitwa "bond" na currencies za nchi nyingine kama US dollar ,SA Rand nk.
"UPOPO" ninayaelewa yote hayo uliyoeleza hapo.

Mikataba huvunjwa au hurekebishwa dunia nzima kama yapo matatizo ya waliowekeana mkataba. Hakuna kisichorekebishwa kati ya mataifa, na hata watu au mashirika iwapo kuna mahitaji ya kufanya hivyo.

Hata hiyo ndoa, msipoelewana, mkataba hauwezi kuwafunga milele. Ndoa itavunjika, hata kama ni kwa mbinde, na maisha yataendelea.

La mhimu hapa, ni namna mnayouvunja mkataba. Mnaweza mkakubaliana mkae chini mtafute njia sahihi ya kuuvunja bila ya mtifuano, au muuvunje kwa mtifuano na kila mmoja wenu ni lazima atatoka na alama chafu, lakini mtaendelea na maisha yenu.

Unajua, wakati mwingine ni nafuu kuuvunja mkataba na kukubali chochote kitakachotokea kuliko kukubali uendelee kuumia ukiwa ndani ya mkataba kandamizi.
Kama hakuna njia inayoweza kufuatwa katika kuvunja mkataba bila ya maumivu, inabidi ukubali maumivu hayo ya mda, kuliko maumivu ya mda mrefu yatokanayo na kuwepo kwa mkataba.
 
Shida ilishasainiwa, Sasa implementation itafanyika tu SiSiM ilishatuingiza chaka. Mkataba ni mkataba ukishawekwa sahihi. Watasubiri Magufuli atoke madarakani au watakwenda mahakamani hapo ndio panaogopesha anyway big up awamu hii


Nani kakwambia mkataba umesainiwa? Unajua maana ya negotiations? Mkataba ni kitu cha mwisho kabisa baada ya pande mbili kukubaliana kabisa, umeona wapi huo mkataba? Kama huna uhakika na kitu, better to shup up
 
Nani kakwambia mkataba umesainiwa? Unajua maana ya negotiations? Mkataba ni kitu cha mwisho kabisa baada ya pande mbili kukubaliana kabisa, umeona wapi huo mkataba? Kama huna uhakika na kitu, better to shup up
inaweza kuwa baada na kabla.So it depends na kama mna negotiate it means kulikuwa na makupaliano ya mwanza kwenye mkataba na not otherwise .Na preliminary work zilikuwa zimeshaanza so hawawezi kuanza kama hakuna mkataba wewe.
 
"UPOPO" ninayaelewa yote hayo uliyoeleza hapo.

Mikataba huvunjwa au hurekebishwa dunia nzima kama yapo matatizo ya waliowekeana mkataba. Hakuna kisichorekebishwa kati ya mataifa, na hata watu au mashirika iwapo kuna mahitaji ya kufanya hivyo.

Hata hiyo ndoa, msipoelewana, mkataba hauwezi kuwafunga milele. Ndoa itavunjika, hata kama ni kwa mbinde, na maisha yataendelea.

La mhimu hapa, ni namna mnayouvunja mkataba. Mnaweza mkakubaliana mkae chini mtafute njia sahihi ya kuuvunja bila ya mtifuano, au muuvunje kwa mtifuano na kila mmoja wenu ni lazima atatoka na alama chafu, lakini mtaendelea na maisha yenu.

Unajua, wakati mwingine ni nafuu kuuvunja mkataba na kukubali chochote kitakachotokea kuliko kukubali uendelee kuumia ukiwa ndani ya mkataba kandamizi.
Kama hakuna njia inayoweza kufuatwa katika kuvunja mkataba bila ya maumivu, inabidi ukubali maumivu hayo ya mda, kuliko maumivu ya mda mrefu yatokanayo na kuwepo kwa mkataba.
Acha ubishi,kurekebishwa au kuvunja inategemea vipengele vilivyo kwenye mkataba vinasemaje ?kama ujauona mkataba kaa kmya.Mikataba ya Tanzania naijua wewe hakuna mtu anayesoma .Hapa nilipo ninamikataba nime signisha na halimashauri Zaidi ya 50 na ukimwuliza mtu kwenye halmashauri inasemaje hata mwanasheria wao hajui na una vipengele Zaidi ya 100 am telling you na kuna mali yeye hawezi kuvunja mkataba every thing nadectate mimi ndio ushangae sasa
 
Sio rahisi hivyo ,zamani nilipokuwa sio kiongozi nilifikiri the same way lakini sio tunavyofikiria ndio maana kusaini mkataba hata uwe wa ndoa jihoji mara mbili niko tayari?nimeelewa?what will be consequence nikiuvunja !nitakuwa tayari kuhandle so just simple example.Kwa mikataba ya nchi ,inatu affect kila kitu kiuchumi ikiwa watatushitaki na wakashinda ,we have to pay tusipolipa wanashika naything iliyo nje ya nchi ,kingine unakuwa listed kuwa ni nchi yenye matatizo ya kiuwekezaji na wanaweza kuku block hata business usifanye ,restrictions kwenye kusafiri nk.I have been in Zimbabwe ,kwa sasa hata currency yao hawawezi kutumia wanatumia kitu kinaitwa "bond" na currencies za nchi nyingine kama US dollar ,SA Rand nk.
Unaweza kusign mkataba, lakini baada ya muda ukaona kuna harafu ya rushwa, imbalance huwa mkataba unaweza kufutwa au kurekebishika.
 
Acha ubishi,kurekebishwa au kuvunja inategemea vipengele vilivyo kwenye mkataba vinasemaje ?kama ujauona mkataba kaa kmya.Mikataba ya Tanzania naijua wewe hakuna mtu anayesoma .Hapa nilipo ninamikataba nime signisha na halimashauri Zaidi ya 50 na ukimwuliza mtu kwenye halmashauri inasemaje hata mwanasheria wao hajui na una vipengele Zaidi ya 100 am telling you na kuna mali yeye hawezi kuvunja mkataba every thing nadectate mimi ndio ushangae sasa
Nyiye ndiyo uwa mnaingiza mkenge serikali kwa kutokusoma, narudi kama veteran lawyer, unaweza vunja mkataba wowote kama ikigundulika sehemu ya pili haijatendewa haki, kama rushwa imetuka, insane, masilahi siyo sawa. Kama Ridhwani kikwete alikamatwa uko China, hiyo mikataba ndo ikawa suruhu yake kukatwa shingo kwa expense ya watanzania. Hiyo mikataba inaweza futwa.
 
Mkataba uliingiwa na serikali ya chama gani? Wabunge wengi waliopitisha hiyo mikataba ni wa chama gani ? Leo mnajitoa ufahamu mmesahau wakati mnagonga meza .
 
Nyiye ndiyo uwa mnaingiza mkenge serikali kwa kutokusoma, narudi kama veteran lawyer, unaweza vunja mkataba wowote kama ikigundulika sehemu ya pili haijatendewa haki, kama rushwa imetuka, insane, masilahi siyo sawa. Kama Ridhwani kikwete alikamatwa uko China, hiyo mikataba ndo ikawa suruhu yake kukatwa shingo kwa expense ya watanzania. Hiyo mikataba inaweza futwa.

Mkuu na wew unakubali ridhiwani alikamatwa china na sembe . Dunia ina mambo
 
Back
Top Bottom