white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,323
- 2,487
ungejua maana na kazi za bureau de change usingeuliza hilo swali lako hapa.Wa mkoani anahitaji bureau ya nini?
ungejua maana na kazi za bureau de change usingeuliza hilo swali lako hapa.Wa mkoani anahitaji bureau ya nini?
Tutarudi kwenye blackmarket!Wewe ndugu yetu uamini wingi wa usd katika market ina affect currency yetu?
Kila mtu anapotaka usd ndio chanzo cha kuffika huku kwa 2200+ wakati uchumi unaambiwa unapanda..kuna vitu vingi vina sababisha ila wingi wa hela ya kigeni yenye thamani ina affect currency ya nchi esp kama haina nguvu
Wanajiongezea mizigo wakati waliyonayo inawaelemea!Very logic
Umefikiria mbali sana kwani maduka yakifungwa ndio "blackmarket" itarudi sijui kama kaliona hilo au hata kulifikiria
Kwa kweliWanajiongezea mizigo wakati waliyonayo inawaelemea!
Explain,pleaseSafi sana hii itasaidia kupandisha thamani ya shilingi yetu
Rudi shuleSi kuna uzi humu unashawishi watu kuwa forex inalipa sana kwanini zibakie chache.
Ni kweli haina. Maana BOT wana controll volume ya M3 (foreign currency) na wao ndo wana zi inject kwenye circulation!!hahahahaa.... kiongozi una vituko! depreciation of what? how?
mkuu jamaa kanifurahisha sana hata mm nilikua nakiitaji sana hiko kitabu kilichoelezea bureau de change ndo causes ya depreciation of the currencywameamua kuzibana zibakie chache maana zilikuwa zimezidi sana kila mtaa
Hivi huwa mnasomea wapi huo ujinga wenu?
Yaani Bureau De Change ndio isababishe sarafu yetu iwe chini hivi?