sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
It is offUr IQ seems to be too low
It is offUr IQ seems to be too low
Me Nilishasema Kitambo Kilometa moja ya rail haiwezi kuwa 1million dollar afu treni lenyewe locomotice gari moshi! yaani vyuma hivyo Kokoto zetu skrubu na nguvu kazi au kama zipo zile treni zinazotengeneza zenyewe njia ya rail..
Sauti ya Magufuli ikisikika Dunia Nzima wachina wamekwisha... sasa Kenya sijui kulikoni maana kila kitu kule ni Wachina... Rushwa ni ya Kuogopwa...
nashukuru, ila pia nashukuru kwa kunikumbusha, Amani ya Bwana iwe naweTumia kichwa chako vizuri kulikua na Wizara ya uchukuzi, Waziri alianza Mwakyembe baadae akawa Marehemu Sita
Tumia kichwa chako vizuri kulikua na Wizara ya uchukuzi, Waziri alianza Mwakyembe baadae akawa Marehemu Sita
Na hao Waturuki wakishindwa itakuwaje? Wao kwao wana matatizo kibao!
Waturuki wapi? Hao ambao ndo wamejenga rali iendayo kasi mwaka 2003 na imeanza kutumika 2009 kwa ujuzi upi walio nao
siku zote nasema hatutasonga mbele katu, nyie vitu vya maslahi ya taifa mnaingiza siasa, halafu mnakuja kutuambia uchumi umepanda na takwimu ambazo sijui mnatoa wapiWakipelekwa Ukawa wataandamana
wahusikaje hapa.UKAWA najua mtanuna ila huo ndo ukweli