Life.co.tz
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 639
- 368
Kama EL alivyo ulizwa na BBC....Wabongo kwa kudanganyika kirahisi!!!! Nafikiri wanaongoza duniani.Huyo magu anataka kiki za kipuuzi.Awadanganye hao,hao wadanganyika wa Lumumba. Yeye alikuwepo katika serikali iliyopita. Kwanini hakuupinga huo ufisadi?sio kwamba alikuwa haujui. Kama kweli yeye ni mpinga ufisadi, tunataka awawajibishe kisheria hao viongozi wa serikali iliyopita.Kama hawezi asituletee unafiki wake hapa,aupeleke unafiki huko lumumba kwa wenzie.
"Lakini Mh si ulikuwemo kwenye hiyohiyo serikali ya Ccm tens kwa cheo cha Waziri mkuu..?? Ulishindwaje kuyatekeleza haya..."