BiMkubwa
JF-Expert Member
- Jan 9, 2007
- 529
- 97
Msaada tafadhali waTanzania,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa Olympics ila kuna jambo linanitatiza hapa. Leo ni siku ya nne tokea mashindano ya swimming yalianza kufanyika. Sijui ni wangapi wana taarifa kuwa tumepeleka watanzania wawili kwenda kushindana katika kipengele hiki cha mashindano haya.
Katika ujuzi wangu mdogo wa computer, nime-search, google, you name it, kutafuta taarifa za watanzania hawa. Yaani details za heats, na waliweza kufikia level gani licha ya kwamba siwategemei kufurukuta mbele ya Michael Phelps. Ila angalau taarifa zao tuzipate ili tujue whats happening.
Kwa mwenye taarifa atueleze jamani. Au ndio walienda kutimiza wajibu? Nina doubt kama walikuwa na any olympic times katika dossier zao. I just need to know.
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa Olympics ila kuna jambo linanitatiza hapa. Leo ni siku ya nne tokea mashindano ya swimming yalianza kufanyika. Sijui ni wangapi wana taarifa kuwa tumepeleka watanzania wawili kwenda kushindana katika kipengele hiki cha mashindano haya.
Katika ujuzi wangu mdogo wa computer, nime-search, google, you name it, kutafuta taarifa za watanzania hawa. Yaani details za heats, na waliweza kufikia level gani licha ya kwamba siwategemei kufurukuta mbele ya Michael Phelps. Ila angalau taarifa zao tuzipate ili tujue whats happening.
Kwa mwenye taarifa atueleze jamani. Au ndio walienda kutimiza wajibu? Nina doubt kama walikuwa na any olympic times katika dossier zao. I just need to know.