Hello there kaka Lyamber Sorry for the late reply, siku mbili tatu hizi sijaingia sana huku. Shukrani sana kwa comments chanya. Situmii vitu fancy ata or anything, kurecord natumia simu (i'm working kupata better equipments), kwa Audio natumia "Audacity". Ni free audio editing software and iko poa sanaa, hata kwa matumizi tu ya kawaida kukata audio, kuunga audio, kuondoa mikwaruzo, kuweka effects na issue kibao. Kama hauna ishushe, ni very helpful audio editing tool afu ni bure kabisa. Congrats by the way, vp una kazi zako ulizoweka online or anything? Ningependa kuziona kaka.
Regards.
[QUOTE
=UncleUber;zz
Zds c
I x]Leo sijasikia kamlio ka facebook messnger, but all in all its nice,u nimecheka afande anaomba awekewe pilpili kwenye kiepe, ila kuna vitu vichache ambavyo nimeshangaa kama mwanzo kutumia sauti ya mtangazaji wa dira ya dunia bbc, but ya dar imekaa kama new york, kweli kavaa kama trafficthe wa bongo ila magari ya polisi kama ya mbele...kilichomiss ni kale ka mlio tu m[/QUOTE]
[QUOTE
=UncleUber;zz
Zds c
I x]Leo sijasikia kamlio ka facebook messnger, but all in all its nice,u nimecheka afande anaomba awekewe pilpili kwenye kiepe, ila kuna vitu vichache ambavyo nimeshangaa kama mwanzo kutumia sauti ya mtangazaji wa dira ya dunia bbc, but ya dar imekaa kama new york, kweli kavaa kama trafficthe wa bongo ila magari ya polisi kama ya mbele...kilichomiss ni kale ka mlio tu m
Hiyo imetengenezwa Kenya na David Mwangi. Kazi yake nyingine ni hii hapa chini
Kuhusu nyenzo walizonazo kutuzidi, jibu ni kuwa HAKUNA! Labda swali litakuja kwanini sasa wanafanya vitu "vikubwa" kuliko sisi? Jibu ni refu kidogo lakini kwa kifupi ni kuwa Wakenya wana tabia ya kuwahi kufanya vitu (wamechangamka) kuliko sisi. Tutafanya lakini kwa kuchelewa kidogo. Hivyo hakuna sababu ya msingi sana ya wao kutuzidi, nyenzo ni almost zile zile.
PICHA/MICHORO
Kuna tofauti kubwa (chanya) ukilinganisha na kazi zilizopita (mwaka jana?) za stick figures.. hizi ni bora sana. Maendeleo makubwa.
UHUISHAJI/ANIMATION
Cha kwanza nilichopenda ni kuwepo kwa kopo la juisi lilikanyagwa.. hii inasaidia kutajirisha mandhari na kujenga udadisi kwa kuanza filamu kutokea pembe/upande (angle) usiotarajiwa.. ni rahisi sana kusahau kuweka vitu kama hivi.. details.. safi.
Nimependa pia details za watu katika magari eg nywele za jamaa kwenye gari nyekundu kutikisika na facial expressions za mdada (Eye blinking and mouth movements), car speeds and camera moves and angles eg from above etc.
SAUTI/SOUND
Sauti ni nzuri pia. Sina malalamiko.
MAPUNGUFU
Huyo trafiki aisee hajakulia mkoa wa Mara, sauti yake inaonekana anatokea maeneo ya baridi lakini si kusini mwa Tanzania. Ubunge wa Tarime atausikia tu redioni.
TECH STUFF
Inaonekana katika options za kurender katika hatua fulani uliset video kuwa Interlaced, kwa sababu inaonesha vimistari horizontal (interlace combing effect) angalia mfano wa picha chini. Watu wanaotumia screen za migongo/visogo (CRT) hawatagundua hilo ila wa Flat screen itakuwa dhahiri kwao. Kwa kuwa teknolojia inaelekea kwenye flat screens na broadcast equipment zimekuwa faster na more powerful badala ya kurender "interlace" scan tumia "Progressive." Naamini hizo options zitakuwepo kwenye software yako.
REQUEST INFORMATION BELOW..................................................................Your name: Your email:
Your phone number: Enter your message below:
** Kindly specify which course you are interested in ..................................................................
Shang Tao Media Arts College is a modern training institution in Kenya, Africa especifically designed to fulfill the vacuum in computerized media production for students and those who wish to have successful careers in multimedia globally. We have been training students in multimedia related fields since 2003. The concepts in 2D & 3D Classic Animation have grown over the years, into new branches of Game Art, cartooning, Design and Visual Effects. Shang Tao Media Arts College has transformed lives and launched careers for many professional artists, graphic designers and animators working around the world. We are proud to have trained at least one TV Graphics Personnel in all the TV stations around the Country. more... 3D Animation - Wine Glass
2D animation process done by students 3D animation done in Shang Tao
hongera ndugu! animation ni biashara kubwa duniani. japo africa bado although kenya hivi majuzi kampuni zimeanza kulipa pesa nzuri kwa advert za animation. kuna baadhi wanatengeza millioni kadhaa za kikenya. labda pia ujaribu kutengeza advert demos utume kwa kampuni hapo kwenu na kenya pia! nikupe mifano ya wenzako wanilipwa mamilioni hapa kenya kwa sasa!
Ndugu Magembe, i cant express how thankful i always am unapochukua muda wako na kunipa review na mawazo yako juu ya kazi zangu. Thank you sir, they always help me improve alot. Nashkuru kaka, ntarudi na kazi zaidi in the future. :yo:
hongera ndugu! animation ni biashara kubwa duniani. japo africa bado although kenya hivi majuzi kampuni zimeanza kulipa pesa nzuri kwa advert za animation. kuna baadhi wanatengeza millioni kadhaa za kikenya. labda pia ujaribu kutengeza advert demos utume kwa kampuni hapo kwenu na kenya pia! nikupe mifano ya wenzako wanilipwa mamilioni hapa kenya kwa sasa!
....
Thank you. The guy is indeed talented nimeshaona kazi zake nyingi sana, ndo naelekea huko mkuu nataka kwanza nielewe concepts nzima kabisa za animations, timings, motions na designs then ndo ntamove forward. Thanks alot for the comments mkuu.:smile-big:
So i was honored to make a blog post on one of the finest Tanzanian animators blog, which has the most amazing talented artists i know. In the post i cover the Story behind the animation, how it was made and finaly link to the animatif you hadn't seen it. Hope you guys like it. .
.
..... ....
...
..
. LINK: http://animatorsintz.blogspot.com/2015/09/misunderstood-hero.html?m= .
..
...
.....
......
...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.