donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,041
- 21,517
Yes sorry mkuuUmekosea Ku quote
Yes sorry mkuuUmekosea Ku quote
Ulinilenga MimiYes sorry mkuu
Hahaha umeninukuu vibaya nabpengine kwa sababu umezoea kujifikiria vibaya, sijawahi na wala sins kawaida hiyo ya kudharau interview zako Sepetu, utakua umenichanganya kwa kweli si Mimi na kama ningekua Mimi basi sinaga kawaida ya kujikataa,pole sana na nasikia vibaya kwa kuniona mpinga Mawazo yakoNimekuwa nakuona kila post yako kuhusu interview inakuwa Na ukakasi sana!sijajua tatizo ni nini!
Ni ukweli kuwa post yk hiyo imejaa dharau Na kejeli sana,hongera!
German. Pm
Umeonaeee, mi sometimes nasomagaaa naangalia najipitia kmy kmy.Kwanini unahoji wanawake tu? Unachukua hatua gani kuhakikisha wanakupa majibu ya kweli? So far nilivyofuatilia wawili walikuwa wanakupa majibu ya uwongo, usiniulize ni akina nani ila fahamu hivyo.
Ukweli haupimwi na thermometer.Hakuna thermometer ya kupima ukweli!
Uwe Na amaniHahaha umeninukuu vibaya nabpengine kwa sababu umezoea kujifikiria vibaya, sijawahi na wala sins kawaida hiyo ya kudharau interview zako Sepetu, utakua umenichanganya kwa kweli si Mimi na kama ningekua Mimi basi sinaga kawaida ya kujikataa,pole sana na nasikia vibaya kwa kuniona mpinga Mawazo yako
Ndio mkuuUlinilenga Mimi
Ok mkuuGerman. Pm
Anakaribia kuzaa.Ok mkuu