Tanzanian lady interview!

Nimekuwa nakuona kila post yako kuhusu interview inakuwa Na ukakasi sana!sijajua tatizo ni nini!
Ni ukweli kuwa post yk hiyo imejaa dharau Na kejeli sana,hongera!
Hahaha umeninukuu vibaya nabpengine kwa sababu umezoea kujifikiria vibaya, sijawahi na wala sins kawaida hiyo ya kudharau interview zako Sepetu, utakua umenichanganya kwa kweli si Mimi na kama ningekua Mimi basi sinaga kawaida ya kujikataa,pole sana na nasikia vibaya kwa kuniona mpinga Mawazo yako
 
Hahaha umeninukuu vibaya nabpengine kwa sababu umezoea kujifikiria vibaya, sijawahi na wala sins kawaida hiyo ya kudharau interview zako Sepetu, utakua umenichanganya kwa kweli si Mimi na kama ningekua Mimi basi sinaga kawaida ya kujikataa,pole sana na nasikia vibaya kwa kuniona mpinga Mawazo yako
Uwe Na amani
 
Back
Top Bottom