luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
wataje joseTutajuaje?
wataje joseTutajuaje?
Kujua kama flani kadanganya mpaka uwe unamfahau kiundani mfano. kuna baadhi ya watu mimi nawafahamu lakn wao hata hawafikirii kama mimi nimo humu.bora maana ni aibu kufanyiwa interview afu ukadanganya bora ukwepe kujibu haadhi ya vitu kama nilivyofanya. nilikuwa nakwepa kijanja ila vingine vyote ni sahihi.
hivi najuaje kuwa Fulani kadanganya wakati tuna I'd fake???
Kweli mkuu.Wanadanganya sana! Kama swali sio rafiki sema hilo sitajibu.
Nilimfurahia Mshana,Faiza .
Na The Bold.
jf INA watu wasiojuoikana kama wwHa ha ha sio kwa kujishtukia huko...
Hapa hadharani haifaiwataje jose
Leo JUMAMOSI MIDA YA JIONI NDIO HII..VIPI MKUU??Habarini!!
Kesho jumamosi mida ya jioni tutakuwa Na interview Na bibie Tanzanian lady!
Asanteni!.
Ikifika unitag carba.Muosha nanii inamana huko kwenu jumamosi jioni bado haijafika?
UsijaliIkifika unitag carba.
Kwanini unahoji wanawake tu? Unachukua hatua gani kuhakikisha wanakupa majibu ya kweli? So far nilivyofuatilia wawili walikuwa wanakupa majibu ya uwongo, usiniulize ni akina nani ila fahamu hivyo.