msemakweli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,627
- 880
Wakuu.
Kama mjuavyo Kenya imekuwa ikijinadi miaka nenda rudi kuwa mifuko yao ndiyo inayotulisha sisi.
Kulingana na takwimu rasmi, makampuni 346 ya Kenya yamewekeza takriban $2billion hapa Tanzania na wamecreate around 45,000 jobs for Tanzanians.
Swali langu ni je sisi wa Tanzania tumewekeza how much huko kwao?
Yeyote mwenye takwimu rasmi aziweke hapa.
Asanteni.
Kama mjuavyo Kenya imekuwa ikijinadi miaka nenda rudi kuwa mifuko yao ndiyo inayotulisha sisi.
Kulingana na takwimu rasmi, makampuni 346 ya Kenya yamewekeza takriban $2billion hapa Tanzania na wamecreate around 45,000 jobs for Tanzanians.
Swali langu ni je sisi wa Tanzania tumewekeza how much huko kwao?
Yeyote mwenye takwimu rasmi aziweke hapa.
Asanteni.