Tanzanian implicated in Botswana Roads scam

Tanzanian implicated in Botswana Roads scam

Habari haijakaa sawa...
Tatizo linalosemwa hapo sio wizi, ila ni kukiuka taratibu zabuni. Yalitengenezwa makalavati mengi kuliko yaliyoidhinishwa wakati wa zabuni.
Ni msala wa mamlaka yenye dhamana ya ujenzi huo, mkandarasi hana kosa kiviiiile...
 
Wako kama vichuguu!,ila wengi ni wajane!
 
Afadhali huko kuna uwezekano mkubwa watakwenda jela!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom