Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Kanumba ni msanii mkubwa hivyo lazima taifa lifike wakati kuenzi mazishi ya watu mbalimbali wenye vipaji ata ukiwa mchekeshaji nawe pia ni sehemu ya ukuaji wa taifa letu.....RIP kanumba
tofautisha wasanii waliotumia usanii wao kwa manufaa ya taifa zima na wanaotumia usanii wao kwa manufaa yao binafsi. Wengine wanatakiwa waenziwe na taifa na wengine na wasanii wenzao na mashabiki wao. Huwezi kunishawishi mimi leo uumie kodi yangu kusafirisha msiba wa kanumba wakati kuna wagonjwa kibao leo wamekosa dawa. Sikuwa shabiki wake hata muvi zake nilikuwa naziona accidentaly kwenye basi wakati nasafiri. Tofautisha wasanii kama l.dube,blenda fasie, bob, waliotumia usanii wao kwa manufaa ya taifa wakati wa kupigania uhuru,this is nationally kwani walipopata uhuru watu wote walinufaika. Mambo ya kanumba ni yake na mashabiki wake. Kufahamika nigeria hainiletei faida yoyote mie nisie shabiki wa huu upuuzi wanaoufanya. Huwa wanashindwa hata kufanya consultation ya sehemu zinazohusu profesion fulan!