Kuna kaukweli lakini lazima uwaheshimu na hao walioumizwa na mtu mmoja lakini hawakuumizwa na watu 40!kanumba ni binadamu wa kawaida sana kama nilivyo Mimi au ww, kifo kimewekwa na mungu ili nafsi za wanadamu washtuke na kumrudia mwenyewe mungu. Leo kifo cha kanumba kimekua ndo story ya Tanzania, je nimarangapi umekutana na watu njiani wanaenda kuzika na ukaona ni kitu cha kawaida tu? inapotokea kwa famous people watu ndo wanashtuka. huwezi amini, kifo cha kanumba kimeumiza watu kuliko watu zaidi ya 40 waliokufa kwa mvua kubwa pale jangwani.
natoa pole kwa familia ya kanumba kama binadamu mwezangu kwani msiba ni kitu kinachouma sana na sio pole kwakua tu alikua msanii wa Bongo movie.
Do you reside in which planet? Mars or Pluto?
Sheria ya ndoa inaruhusu mwanamke kuolewa akiwa na miaka 14. Sijui kama imebadilishwa hivi sasa. lakini ninayoifahamu ya tangu zamani ni hiyo.sheria ya ndoa ya nchi au ya kidini? ebu fafanua
Well, kama ana majeraha usoni basi inawezekana alikuwa victim of spousal abuse. Pia kuna uwezekano alikuwa katika harakati za kujikinga dhidi ya kichapo kutoka kwa marehemu. Na hiyo itahusika sana katika utetezi wa kesi kama watamshitaki kwa jinai yeyote.Lulu(hot Lulu)yupo kituoni police
na mahututi kwani anamaumivu na majeraha mengi sana usoni,lulu kapasuliwa pia na Kanumba
...so sad when a young brother go quick like that....Damn, RIP!
Leo siyo siku ya kazi, kaoge, ukojoe na ulale mapema. Jamii ya kistaarabu ya kulipua wenzenu na kujilipua wenyewe kwa mabomu? Ndugu huna pointi, hata mimi nilikosa pointi nilipokuwa huko kwako miezi michache iliyopita. Leo mada hapa Kanumba kafariki, how come mtu anakuja na kushangilia kwa kifo chake?
Aliyeshangilia ni yeye na sio jamii yake!! Toka kwenye jamii iliyomzunguka yeye, wapo waliohuzunishwa na hicho kifo pengine kuliko wewe...sasa inakuwaje unaanza kuwadhalilisha?! Next time, watch ur fingers movement, usijifanye unajua sana matusi; mie sioni taabu kupigwa ban ninapokutana na watu kama wewe!
Maskiniii, yaani ameachwa mjane katika umri huu..! nampa pole sana.18 yrs old... katimiza juzi hivi..