Wazaramo kwa makuzi huwawezi yaani visimba vyenyewe ni million 2 tu...pori zima!!! basi anaona weeeengiii....hiyo ni idadi ya ngombe wa mtu mmoja kure Mara....sembuse porizima??? niridhani ni simba million 39 hivi kwa uchache. Apigwe chini huyo hana malango mazuri.....wameebda wapi???