Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,246
- 79,570
Tuwa-ignore kwa mwaka hivi!Lazima tujue nani ndio mkuu hapa EA, lazima kuwepo na nidhamu ndani ya East Africa, kama ambavyo Ujerumani ndiyo yenye sauti ya mwisho katika EU, ndio sababu EU imetulia hakuna mizozo ya kijinga, kama ambavyo USA ana sauti ya mwisho ndani ya G7, vinginevyo mizozo haitokwisha hapa East Africa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Unadhani kutoa mazao brazil ni kama kutoa mbagala !??Unazuia ndege halafu wananunua Mazao Brazil wewe Wananchi wako wanabaki Maskini
Hawa ndo wale kwa upande wa kanga wananunuliwa! JPM anajua what Tanzania deserves as far as its rightful share of business in EA is concerned!Unadhani kutoa mazao brazil ni kama kutoa mbagala !??
Sijawahi kumuelewa huyu jamaaUnadhani kutoa mazao brazil ni kama kutoa mbagala !??
Hapo sasa wamekamatwa kwenyewe wanaomba poo mpaka uchaguzi upite ndio tutaangalia mambo mengine maana hatuna cha kupotezaMY TAKE: Yale matamshi ya Uhuru Kenyatta kwamba Kenya is a democratic country, our media are free we can't hide anything, not like ET other country which puts thing under the carpet", hayakufaa kabisa kusemwa na rais wa nchi tena hadharani, sitegemei kama Magufuli ataruhusi ndege za Kanya kuingia Tanzania hivi karibuni.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sijui hivyo vyuo vyao vinafundisha nini ,hivi unawezaje kuanzisha mvutano bila kutathmini mwenzako atajibu nini.ROUTE KARIBIA 30 KWA WEEK TANZANIA HALAFU KUNYALAND ANALETA JEURI HAHAHAHAHAH
Bado masikini wa TANZANIA uwezi fananisha na wakenya .Unazuia ndege halafu wananunua Mazao Brazil wewe Wananchi wako wanabaki Maskini
Kwanza mi naona ni bora tuendelee hivi hiv maana kuna msemo unasema akusaidiae Kwa dhiki ndie rafiki sasa tukiwaruhusu hawaT
Wakenya bwana na demokrasia yao ya kuiga! Walichosahau Africa tuna utaratibu wetu wa kuishi! Viva magu viva tulichelewa sana! Haiwezekani korona ilipo anzia eti wako vizuri, sisi majirani eti tuna korona, hiyo akili ni sawa na matope!
Wenyewe wanasema tuna Jambo letu October 28 . Ila kabla ya 28 tuna Jambo letu October 18hahahaaaha hii October hii hatar sanaKama taifa tuna jambo letu zito mbele yetu.
U knuckleheads keep focussing on Kenya Instead of issues affecting ua own nation.Miccm morons u are all stupid.Is Kenya ua agenda,,, You're all just mere losers
Tena kipindi cha Corona hii ambapo Brazil ranks top 3 in World's COVD19 infections rate!Unadhani kutoa mazao brazil ni kama kutoa mbagala !??
Hakuna Cha normal business na Kenya. Wakenya ni washenzi kabisa they can go to hell. Ikibidi tutajenga ukuta au kuweka waya katika mpaka wote wa Kenya na Tanzania Kama USA ilivyofanya na Mexico.Kuna vitu vingine ni vya kijinga sasa, kuendelea kulikumbatia limzozo la ajabu ajabu hamna mpango cha msingi maisha yarejee normal business should re operate again ma covid yenye ni janja ya waxungu na nampongeza Jaden ameweza kutumia fursa ametumbua pesa za wazungu vi deadly
Yaan juzzi nimemtazama M7 kapungua mzee wa watu kweli alikuwa anawaza na kuwazua lkn nikimtazama Jaden ako amenenepa