Tanzania Yaingiza Tani 52,000 ya Nyama ya Nguruwe (Kitimoto) Kutoka Nje

Kitimoto

JF-Expert Member
Aug 25, 2012
5,045
4,701
images - 2023-05-06T154405.078.jpeg


Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Katibu wa chama hicho, Collins Ritenga amesema leo Jumamosi Mei 6, 2023 kwenye mkutano ulioratibiwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ukihusisha wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa.

Kikao hicho kimelenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuthibiti na kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mafuta ya nguruwe ambao umekuwa ni changamoto katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

“Licha ya jitihada kubwa za wananchi kujihusisha na ufugaji wa nguruwe, bado kuna changamoto ya kutofikia malengo ya uzalishaji wa kibiashara kama mataifa mengine, ikiwepo ufugaji wa mazoea unaochangia kupata changamoto za ugonjwa wa homa ya mafuta ya nguruwe,” amesema.

Ameongeza kuwa ujio wa FAO huenda ukawa mwarobaini kwa wafugaji kuondokana na ufugaji wa mazoea ikiwepo changamoto za kukabiliana na ugonjwa hho ambao umekuwa ukiathiri sana sekta ndogo ya ufugaji nguruwe nchini.

Mwananchi
 
View attachment 2612126

Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Katibu wa chama hicho, Collins Ritenga amesema leo Jumamosi Mei 6, 2023 kwenye mkutano ulioratibiwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ukihusisha wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa.

Kikao hicho kimelenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuthibiti na kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mafuta ya nguruwe ambao umekuwa ni changamoto katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

“Licha ya jitihada kubwa za wananchi kujihusisha na ufugaji wa nguruwe, bado kuna changamoto ya kutofikia malengo ya uzalishaji wa kibiashara kama mataifa mengine, ikiwepo ufugaji wa mazoea unaochangia kupata changamoto za ugonjwa wa homa ya mafuta ya nguruwe,” amesema.

Ameongeza kuwa ujio wa FAO huenda ukawa mwarobaini kwa wafugaji kuondokana na ufugaji wa mazoea ikiwepo changamoto za kukabiliana na ugonjwa hho ambao umekuwa ukiathiri sana sekta ndogo ya ufugaji nguruwe nchini.

Mwananchi
Waroho wa kitimoto wanali cost taifa
 
Wamefanya jambo jema kabisa. Kuliko wangeingiza mifugo ambayo ni red meat ambayo inasababishia watu matatizo ya miguu na viungo wameingiza nchini nyama Bora kabisa. Wote mnaalikwa kula
 
Fanya importation kwa vitu vya maana hizo nguruwe tungeweza kufuga coz tuna maeneo mengi. Tunatengeneza unfavorable balance of Payment bila sababu.
Kwani mnazuiwa kufuga? Watu classic wanataka nyama ya maana ya nguruwe sio hizo za kienyeji mnazochoma hovyo na bila kufanyiwa parkaging nzuri..
Hakuna bidhaa ambayo tunajitosheleza kama Taifa na hii ni kutokana na vikwazo vingi vinazuia uwekezaji

 
View attachment 2612126

Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Katibu wa chama hicho, Collins Ritenga amesema leo Jumamosi Mei 6, 2023 kwenye mkutano ulioratibiwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ukihusisha wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa.

Kikao hicho kimelenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuthibiti na kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mafuta ya nguruwe ambao umekuwa ni changamoto katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

“Licha ya jitihada kubwa za wananchi kujihusisha na ufugaji wa nguruwe, bado kuna changamoto ya kutofikia malengo ya uzalishaji wa kibiashara kama mataifa mengine, ikiwepo ufugaji wa mazoea unaochangia kupata changamoto za ugonjwa wa homa ya mafuta ya nguruwe,” amesema.

Ameongeza kuwa ujio wa FAO huenda ukawa mwarobaini kwa wafugaji kuondokana na ufugaji wa mazoea ikiwepo changamoto za kukabiliana na ugonjwa hho ambao umekuwa ukiathiri sana sekta ndogo ya ufugaji nguruwe nchini.

Mwananchi
Karibu 2023
Mapinduzi ya Ufugaji wa Nguruwe Tanzania.

Direct Whatsapp - Xiānshēng 大卫, 名尼亞 Muwekezaji / Entrepreneur / Investor

1. WhatsApp Group Mapinduzi ya Ufugaji wa Nguruwe Tanzania

2. WhatsApp Group Uza au Nunua Nyama ya Nguruwe Tu Hapa

3. Bei Facebook anmelden

4. Messenger

5. Messenger

6. Bei Facebook anmelden

7. Bei Facebook anmelden

8.

9. Wateja wa Nyama Ya Nguruwe

10. Wateja wa Watoto wa Nguruwe wa Kisasa wa Mbegu

Instagram - @Nyamayanguruwee
Facebook Account - Nyama Ya Nguruwe
Facebook page - nyamayanguruwe

1. Ninauza Watoto wa Nguruwe wa Kisasa wa Mbegu
Madume na Majike yanapatikana hapa
Bei ni Tshs 200,000/= - Tshs 2,000,000/=
Bei Inategemea na Mbegu au Umri wa Nguruwe utakayemuhitaji.

NB:- Ukinunua watoto wa Nguruwe Tenga la kuwaweka kwa ajili ya kuwabeba au kuwasafirisha utapata Bure kwa idadi yoyote ile ya watoto wa Nguruwe utakaonunua hapa shambani.

2. Ninauza Nyama ya Nguruwe kwa bei ya Jumla Kilo moja (Kg 1) ni Tshs 8,000/= - Tshs 8,500/=

NB:- NINAHITAJI Wateja wanaonunua nyama ya Nguruwe NA KULIPA hela Papo Hapo au CASH. Kuanzia Kilo 5, kilo 10, kilo 20, kilo 30, kilo 40, kilo 50, kilo 60, kilo 70, kilo 80, kilo 90, kilo 100, kilo 150, kilo 200, kilo 250 nakuendelea

👉🏽Nyama ya Nguruwe kwa bei ya Reja Reja Kilo moja (Kg 1) ni Tshs 9,000/= - Tshs 10,000/=

*SPECIAL ORDERS *
RIBS / Mbavu Tu Kg 1 - ni Tshs 12,000/= - Tshs 15,000/=
Stake Tupu / Steak Kg 1 - ni Tshs 12,000/= - Tshs 15,000/=
Maini Kg 1 - ni Tshs 10,000/=
Kichwa Kg 1 - ni Tshs 3,500/= - Tshs 4,000/=
Miguu Pair 1 - ni Tshs 4,000/= - Tshs 5,000/=
Matumbo Ndoo Kubwa - ni Tshs 15,000/= - Tshs 20,000/=
Mkia Kg 1 - ni Tshs 3,000/= - Tshs 4,000/=

3. Ninachukua Nguruwe wa kuchinja Dar es Salaam na Pwani. Kwa kila kilo moja (Kg 1) utalipwa Tshs 6,500/= mpaka Tshs 7,000/=

NB:- Popote Dar es Salaam na Pwani nitakuja kuwachukua Nguruwe BURE! - KAMA NGURUWE WAKO WAPO KARIBU NA MAHALI NILIPO.

4. Ninauza Mbolea ya Nguruwe
Ujazo wa Suzuki Carry Kg 350 ni Tshs 100,000/= Tu.

NB:- Kama ni Karibu na Shamba usafiri ni bure. Kama ni Mbali na shamba Dar es Salaam na Pwani usafiri upo kwa Gharama ya Mteja.

5. Nguruwe wenye mimba ni Tshs 2,000,000/=

KUMBUKA Kwa huduma yoyote ile utakayoihitaji hapa, Delivery Dar es Salaam na Pwani ipo kwa Gharama ya mteja.

Kwa Mawasiliano
Tel: +255716576827
Email: Nyamayanguruwe@gmail.com
Location: Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese

Mapinduzi ya Ufugaji wa Nguruwe Tanzania.
#daressalaam #nguruwe #watotowanguruwe #watotowanguruwewakisasa #nguruwebiashara #piglet #piglets #pork #ham #swine #pigs #pig #delivery #tanzania #pigfarmer #pigfarmers #pigfarmerslife #mapinduziyaufugajiwanguruwetanzania #nyamayanguruwe
#porkrecipe #pigfood

Karibu tufanye Kazi.
2023
 
View attachment 2612126

Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Katibu wa chama hicho, Collins Ritenga amesema leo Jumamosi Mei 6, 2023 kwenye mkutano ulioratibiwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ukihusisha wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa.

Kikao hicho kimelenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuthibiti na kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mafuta ya nguruwe ambao umekuwa ni changamoto katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

“Licha ya jitihada kubwa za wananchi kujihusisha na ufugaji wa nguruwe, bado kuna changamoto ya kutofikia malengo ya uzalishaji wa kibiashara kama mataifa mengine, ikiwepo ufugaji wa mazoea unaochangia kupata changamoto za ugonjwa wa homa ya mafuta ya nguruwe,” amesema.

Ameongeza kuwa ujio wa FAO huenda ukawa mwarobaini kwa wafugaji kuondokana na ufugaji wa mazoea ikiwepo changamoto za kukabiliana na ugonjwa hho ambao umekuwa ukiathiri sana sekta ndogo ya ufugaji nguruwe nchini.

Mwananchi
Huu ni upuuzi kama ule wa maziwa Lita bil.10
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom