Tanzania yaingiza tani 52,000 nyama ya nguruwe kutoka nje

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,525

Tanzania yaingiza tani 52,000 nyama ya nguruwe kutoka nje​

Jumamosi, Mei 06, 2023
nguruwe-pic.jpg

New Content Item (1)
By Hawa Mathias
Mwandishi wa habari
Mwananchi Communications Limited (MCL)

Muktasari:​

  • Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limefanya mkutano na wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa kujadili namna ya kukabiliana na magonjwa yanayowakabili wanyama hao na kuongeza uzalishaji.
Mbeya. Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Katibu wa chama hicho, Collins Ritenga amesema leo Jumamosi Mei 6, 2023 kwenye mkutano ulioratibiwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ukihusisha wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa.
Kikao hicho kimelenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuthibiti na kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mafuta ya nguruwe ambao umekuwa ni changamoto katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
 

Attachments

  • FB_IMG_1683370323812.jpg
    FB_IMG_1683370323812.jpg
    26.9 KB · Views: 4

Biashara




Tanzania yaingiza tani 52,000 nyama ya nguruwe kutoka nje​

Jumamosi, Mei 06, 2023
nguruwe-pic.jpg

New Content Item (1)
By Hawa Mathias
Mwandishi wa habari
Mwananchi Communications Limited (MCL)

Muktasari:​

  • Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limefanya mkutano na wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa kujadili namna ya kukabiliana na magonjwa yanayowakabili wanyama hao na kuongeza uzalishaji.
Mbeya. Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Biashara




Tanzania yaingiza tani 52,000 nyama ya nguruwe kutoka nje​

Jumamosi, Mei 06, 2023
nguruwe-pic.jpg

New Content Item (1)
By Hawa Mathias
Mwandishi wa habari
Mwananchi Communications Limited (MCL)

Muktasari:​

  • Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limefanya mkutano na wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa kujadili namna ya kukabiliana na magonjwa yanayowakabili wanyama hao na kuongeza uzalishaji.
Mbeya. Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Katibu wa chama hicho, Collins Ritenga amesema leo Jumamosi Mei 6, 2023 kwenye mkutano ulioratibiwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ukihusisha wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa.
Kikao hicho kimelenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuthibiti na kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mafuta ya nguruwe ambao umekuwa ni changamoto katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Hii chini ndiyo yenyewe haswaa haina mbambamba.
 
Hii biashara imekaa vizuri sana hasa ufugaji, unaweza kuta una shida na ada ya watoto kiasi cha shilingi milioni 2 ukiuza Kitimoto zako wanne tu unakuwa umeshapata hiyo hela🙌

Uzuri wake wanahimili sana maradhi hasa wakishavuka umri wa wiki 12
 

Biashara




Tanzania yaingiza tani 52,000 nyama ya nguruwe kutoka nje​

Jumamosi, Mei 06, 2023
nguruwe-pic.jpg

New Content Item (1)
By Hawa Mathias
Mwandishi wa habari
Mwananchi Communications Limited (MCL)

Muktasari:​

  • Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limefanya mkutano na wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa kujadili namna ya kukabiliana na magonjwa yanayowakabili wanyama hao na kuongeza uzalishaji.
Mbeya. Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Biashara




Tanzania yaingiza tani 52,000 nyama ya nguruwe kutoka nje​

Jumamosi, Mei 06, 2023
nguruwe-pic.jpg

New Content Item (1)
By Hawa Mathias
Mwandishi wa habari
Mwananchi Communications Limited (MCL)

Muktasari:​

  • Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limefanya mkutano na wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa kujadili namna ya kukabiliana na magonjwa yanayowakabili wanyama hao na kuongeza uzalishaji.
Mbeya. Chama cha Wafugaji Nguruwe Tanzania (TAFIPA) kimesema wastani wa tani 52,000 za nyama ya nguruwe huingizwa nchini kila mwaka kutoka nje ya nchi, huku Tanzania ikizalisha tani 27,000 pekee.

Katibu wa chama hicho, Collins Ritenga amesema leo Jumamosi Mei 6, 2023 kwenye mkutano ulioratibiwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ukihusisha wafugaji na wafanyabishara wanyama hao kutoka Mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi na Rukwa.
Kikao hicho kimelenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuthibiti na kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mafuta ya nguruwe ambao umekuwa ni changamoto katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Nusu ya hizo zitaenda kimara. Nyingine itaenda Rombo
 
Kwanini hawa wanyama wameongezeka kuzaana wakati wa Kwaresma na Ramadhani? Wasabato tuwatoe hawana madhara sisi wengine ambao hatuna mfungo tulikula kama kawa hata leo nimepiga zangu nusu na ndizi2.
Baada ya waliofunga kufungulia hadi waliopo hawatoshi tunaagiza nje 😇😇🐷🐷
 
Back
Top Bottom