mifuko ya hifadhi ya jamii PPF na NSSF kwa pamoja wanajenga kiwanda kikubwa cha sukari katika eneo la Mkulanzi mkoani Morogoro,kiwanda hicho kinatarajiwa kuwa kikubwa zaidi Afrika ya mashariki na kitatoa ajira 100,000 katika hatua ya awali.(picha na maelezo ni kwa msaada wa blog ya issamichuzi).