Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,390
Sasa hv tunapambana kwanza na wanaosema vibaya na kutukana ovyo. Kwa sababu sina mpango wa kuachia madaraka, ikifika 2027 ndo tutaanza viwanda.
Najua ikifika 2025 mtaanza maandamano ya kutaka niondoke madarakani, sasa 2 years later baada ya kuwanyamazisha, ndio tutaanza viwanda.
Nawapa taarifa mapema. Sitaachia madaraka. 2024 au 25 narekebisha katiba ya kuniruhusu kuendelea. Nimegundua nyie mnahitaji kunyoshwa, mmebembelezwa sana.
Ongeeni, ila not to that extent...!!!
Najua ikifika 2025 mtaanza maandamano ya kutaka niondoke madarakani, sasa 2 years later baada ya kuwanyamazisha, ndio tutaanza viwanda.
Nawapa taarifa mapema. Sitaachia madaraka. 2024 au 25 narekebisha katiba ya kuniruhusu kuendelea. Nimegundua nyie mnahitaji kunyoshwa, mmebembelezwa sana.
Ongeeni, ila not to that extent...!!!