Tanzania ya Viwanda is dead and dusted

Tanzania ya Viwanda is dead and dusted

Ki Mun

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
3,442
Reaction score
4,389
Hata siamini mjue,

Mwijage is no where to be heard, Sizonje is at a loss..

Sasa ni kusumbua wafanyabiashara, kuwatisha na kuwanyang'anya mali na fedha zao...nyumba, mashamba, viwanja, magari nk.

Bombardier zimeyeyuka...elimu bure uongo mtupu, mimi kila mwezi nalipa michango inayozidi sh.25,000 kwa mwanangu anayesoma shule ya msingi ya umma...chakula sh.10,000/=; masomo ya ziada sh. 10,000/=; mlinzi sh. 2000/=; maji sh.3000/=

Vipaumbele sasa ni mateso yasiyomithilika kwa watu wenye mawazo mbadala...piga risasi Tundu Lissu, kill an innocent young University student Akwilina Aquiline halaf gharamikia mazishi yake na jifanye una huruma kupindukia...Kamata wabunge wa upinzani, wafungulie kesi za uongo na vifungo vya uongo tu..

I wonder how quickly the rulers have lost focus...

Tanzania ya viwanda is dead and dusted...God have mercy!
 
Kuna kipindi nilikatiza maeneo ya Ubungo Mataa nikakuta wachina wamejipanga kweli kweli kutengeneza flyovers. Juzi kati nilifika tena Dar nikakuta pametulia kimya na hakuna lolote linaloendelea; what's wrong?
 
Hata siamini mjue,

Mwijage is no where to be heard, Sizonje is at a loss..

Sasa ni kusumbua wafanyabiashara, kuwatisha na kuwanyang'anya mali na fedha zao...nyumba, mashamba, viwanja, magari nk.

Bombardier zimeyeyuka...elimu bure uongo mtupu, mimi kila mwezi nalipa michango inayozidi sh.25,000 kwa mwanangu anayesoma shule ya msingi ya umma...chakula sh.10,000/=; masomo ya ziada sh. 10,000/=; mlinzi sh. 2000/=; maji sh.3000/=

Vipaumbele sasa ni mateso yasiyomithilika kwa watu wenye mawazo mbadala...piga risasi Tundu Lissu, kill an innocent young University student Akwilina Aquiline halaf gharamikia mazishi yake na jifanye una huruma kupindukia...Kamata wabunge wa upinzani, wafungulie kesi za uongo na vifungo vya uongo tu..

Tanzania ya viwanda is dead and dusted!
Kuongelea bombardier kwa utawala huu ni hatari sana kuliko hata kukutwa na madawa ya kulevya
 
Hata siamini mjue,

Mwijage is no where to be heard, Sizonje is at a loss..

Sasa ni kusumbua wafanyabiashara, kuwatisha na kuwanyang'anya mali na fedha zao...nyumba, mashamba, viwanja, magari nk.

Bombardier zimeyeyuka...elimu bure uongo mtupu, mimi kila mwezi nalipa michango inayozidi sh.25,000 kwa mwanangu anayesoma shule ya msingi ya umma...chakula sh.10,000/=; masomo ya ziada sh. 10,000/=; mlinzi sh. 2000/=; maji sh.3000/=

Vipaumbele sasa ni mateso yasiyomithilika kwa watu wenye mawazo mbadala...piga risasi Tundu Lissu, kill an innocent young University student Akwilina Aquiline halaf gharamikia mazishi yake na jifanye una huruma kupindukia...Kamata wabunge wa upinzani, wafungulie kesi za uongo na vifungo vya uongo tu..

Tanzania ya viwanda is dead and dusted!
Sizonje
 
Tunakwenda Mdogo mdogo. Tunatengeneza Ili tuwe na umeme wa Uhakika. Viwanda haviwezi kufanya vizuri bila ya kuwa na miundo mbinu kama Umeme wa Uhakika, Barabara nzuri na Reli ya uhakika kwa ajili ya kusafirishia bidhaa.

(Nafikiri nimetetea kwa kiwango Kikubwa hapa na mmeelewa).
 
Hata siamini mjue,

Mwijage is no where to be heard, Sizonje is at a loss..

Sasa ni kusumbua wafanyabiashara, kuwatisha na kuwanyang'anya mali na fedha zao...nyumba, mashamba, viwanja, magari nk.

Bombardier zimeyeyuka...elimu bure uongo mtupu, mimi kila mwezi nalipa michango inayozidi sh.25,000 kwa mwanangu anayesoma shule ya msingi ya umma...chakula sh.10,000/=; masomo ya ziada sh. 10,000/=; mlinzi sh. 2000/=; maji sh.3000/=

Vipaumbele sasa ni mateso yasiyomithilika kwa watu wenye mawazo mbadala...piga risasi Tundu Lissu, kill an innocent young University student Akwilina Aquiline halaf gharamikia mazishi yake na jifanye una huruma kupindukia...Kamata wabunge wa upinzani, wafungulie kesi za uongo na vifungo vya uongo tu..

Tanzania ya viwanda is dead and dusted!
Imebakia kwa Sizonje kurudia: (ongelea kwenye pua) "jamani niombeeni". Ameambulia maombi 75% yakimtaka A RIP.
 
Tunakwenda Mdogo mdogo. Tunatengeneza Ili tuwe na umeme wa Uhakika. Viwanda haviwezi kufanya vizuri bila ya kuwa na miundo mbinu kama Umeme wa Uhakika, Barabara nzuri na Reli ya uhakika kwa ajili ya kusafirishia bidhaa.

(Nafikiri nimetetea kwa kiwango Kikubwa hapa na mmeelewa).
Ndoto.
 
Kuongea kitu chochote ni rahisi sna ila utekelezaji wake huchukua mda sna ngoja tuone mda bado sna
 
Kuna kipindi nilikatiza maeneo ya Ubungo Mataa nikakuta wachina wamejipanga kweli kweli kutengeneza flyovers. Juzi kati nilifika tena Dar nikakuta pametulia kimya na hakuna lolote linaloendelea; what's wrong?
wale walikuwa wanajenga Mabomba ya maji ya dawasco,ile ni project ya dawasco Flyover bado mkandarasi hajapatikana.
 
Tanzania ya viwanda itakufaje wakati haijawahi kuwepo? Labda mimba yake imeharibika
 
Hata siamini mjue,

Mwijage is no where to be heard, Sizonje is at a loss..

Sasa ni kusumbua wafanyabiashara, kuwatisha na kuwanyang'anya mali na fedha zao...nyumba, mashamba, viwanja, magari nk.

Bombardier zimeyeyuka...elimu bure uongo mtupu, mimi kila mwezi nalipa michango inayozidi sh.25,000 kwa mwanangu anayesoma shule ya msingi ya umma...chakula sh.10,000/=; masomo ya ziada sh. 10,000/=; mlinzi sh. 2000/=; maji sh.3000/=

Vipaumbele sasa ni mateso yasiyomithilika kwa watu wenye mawazo mbadala...piga risasi Tundu Lissu, kill an innocent young University student Akwilina Aquiline halaf gharamikia mazishi yake na jifanye una huruma kupindukia...Kamata wabunge wa upinzani, wafungulie kesi za uongo na vifungo vya uongo tu..

I wonder how quickly the rulers have lost focus...

Tanzania ya viwanda is dead and dusted...God have mercy!
Mtoa mada unamtafuta mkulu

Yaan kutaja bombardier ni sawa na kutonesha kidonda kilichoota makovu

Sitoshangaa kusikua kauli
"Tulikua tunapambana na lijambazi ila tukalishinda "
 
Tafsiri yenyewe ya viwanda haieleweki, eti vyerehani 4 ni kiwanda!!!!! Toba.
 
Uwezi kusema Tanzania ya viwanda kwenye majukwaa.Majukwaa Ni ya siasa seriously we are lost this time.Tukitaka Tanzania ya viwanda kwa uwelewa wangu mdogo tunatakiwa tuwe na mipango ya muda mfupi na muda mrefu.Muda mrefu Ni ku analyse viwanda vilivyopo ,matatizo yaliyopo kwa viwanda vilivyopo unajiuliza Kama Kuna mafakikio je yaimarishwe vipi then matatizo yatatuliwe vipi na mnaweka na timeline ya muda mfupi na muda mrefu.Them tunakuja na strategy ya kuendeleza viwanda kwa phase 2 viwanda vidogo na viwanda vya Kati.Vikubwa baadaye au kwa mwendo mdogo mdogo kwa miaka Kama 10.Mawazo yangu tu
 
Gari lishapoteza direction mda mrefu tusubirie tuu ripoti za majeruhi na waliokufa.
Kingunge rest in a place you deserve! But nakumbuka maonyo yako kuwa "TUSIMPELEKE NYAMPARA IKULU". Just rest in a place you deserve! BUT YOUR WORDS WILL LIVE IN MY MIND!
 
Back
Top Bottom