Tanzania wacha kujitenga na kulauma wengine pasipo sababu

Tanzania wacha kujitenga na kulauma wengine pasipo sababu

Status
Not open for further replies.

ukwelingumu

Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
55
Reaction score
13
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie kule kwenye IGAD mmekimbia nini? Mnafikiri tumelala Ma-Nyang'au wakubwa.
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?
Ha ha ha! Sasa na wewe ukwelingumu, sijui madungu au mandungu ndio nini? Yaani hiki Kiswahili kibovu tu ni sababu tosha ya waTanzania kujitenga na EAC.
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?

Tukueleweshe kama nani? Maadamu sisi watanzania wenyewe tunaelewa tunachotaka, wewe uelewe usielewe si kitu cha maana.Umoja ni nguvu ukiwa unahusisha wanyama au ndege wa aina moja lakini ukisema umoja wa mwewe na kifaranga cha kuku ni nguvu hapo si kweli.
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?



RED INAPEWA JIBU:

Hao unaowataja hawana LAND YA KUTOSHA. Does that make sense to you?
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?

Tanzania haiitaji Kenya au Uganda ili kuendelea kushine! Kwamaana mmeamua kupita njia za mkato kuipiku Tanzania na mnavunja makubaliano tuliyowekeana mwanzo u better go.
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?

Kama hao "MADUGU" wa watatu ni manyang'au bora huyu mmoja akae mbali nao.
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?

The truth is that kuna kila sababu ya kudoubt juu ya mpango wa kuharakisha shirikisho la Afrika mashariki unaofanywa na kenya,uganda na rwanda due to the following facts,Firstly,historia ya uhasama wa mipaka kati ya Tanzania na hizo nchi zinazo harakisha shirikisho la Afrika mashariki hivyo basi watanzania tuliowengi hatuwaamini hawa majiran ambao tayari tunahistoria nao za ugomvi,upoo!!!secondly,uroho-roho wa madaraka wa viongoz wetu wanao simamia undwaji wa hilo shirikisho la Afrika mashariki,mfano,unategemea ushirikiano gan kati ya museven(uganda)anayeiongoza nchi yake kifalme kagame(rwanda)ambaye pia anaona kama si demokrasia kuwa achia wenzake nao waongoze?kenya kidogo hawana hii kashifa then unashauri uharakishaji wa wa shirikisho,upoo!!!!Thirdly,mahusiano ya uhasama baina ya wananchi wa nchi wanachama kwa mfano wanyarwanda wamekuwa ni wakorofi na majambazi kwenye mikoa yetu ya geita,bukoba,kigoma na ngara hali ambayo inatutia mashaka watanzania,upoo!!!
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?


Hovyooo kiswahili chenyewe hujui, umenichefua kalale mbele huko
 
Hovyooo kiswahili chenyewe hujui, umenichefua kalale mbele huko
WaTZ toeni uchambuzi - cost-benefist analysis - ya kujitenga na wenzetu katika EAC badala ya kutoa kejeli na majibu ya reja reja. Mwenzenu ameuliza ili afahamishwe badala ya kumpa majibu mnamkejeli na kuangalia lugha badala ya hoja. Ni ishara ya ama kutokuwa na majibu au hata kutokuwa na weledi wa kutosha kuhusu mada yenyewe. Kama ni hivyo ni bora kunyamaza.
 
Leo magazetini imeripotiwa Waziri Membe akihojiwa na clouds fm hapo jana amesema Tanzania inasubiri talaka. Kama issue ni talaka si Tanzania idai tu maadam tumeolewa sijui ndoa ya kikiristu ,kiislam, kijadi au kipagani. Tutafika na viongozi mipasho kweli?
 
WaTZ toeni uchambuzi - cost-benefist analysis - ya kujitenga na wenzetu katika EAC badala ya kutoa kejeli na majibu ya reja reja. Mwenzenu ameuliza ili afahamishwe badala ya kumpa majibu mnamkejeli na kuangalia lugha badala ya hoja. Ni ishara ya ama kutokuwa na majibu au hata kutokuwa na weledi wa kutosha kuhusu mada yenyewe. Kama ni hivyo ni bora kunyamaza.

Haya ngoja tuanze kukupa masuala makubwa machache


1.Kuungana nchi lazima kwanza nchi ziwe na usalama na amani ya kutosha ndani ya nchi husika.Rwanda wana vita na waasi ambazo hazijaisha,Uganda usiseme kuna LRA,Kenya ukabila haujaisha na wana Ukabila na wakimbizi wa ndani wanao hadi leo na mavita na AL SHABAB,Burundi vita na waasi bado ipo utulivu na amani bado.Uganda,Rwanda ni mabwana wa vita wanatuhumiwa kongo.Huwezi kuwa na muungano na nchi zisizokuwa na amani na utulivu.Hili ni eneo nyeti huwezi ungana na nchi ziko vitani masaa 24.Kwenye hili tunaona hakuna faida kuungana nao.Cost ni kubwa kuliko benefit.

2.Suala la ardhi wao ardhi ni bidhaa tu na inamilikiwa na wachache sisi hatutaki.Tulipigania uhuru ili tupate ardhi.Wao walipigania uhuru watawale tu ndio maana hawajali wananchi wao kukosa ardhi.Na hili ndilo wanalitaka sana.Watanzania tunasema hatutaki suala la ardhi liwemo kwenye jumuiya.Wananchi wao wanahaha kuhusu ardhi hatutaki litukute ndio maana hatutaki na watuelewe tu.hatuoni benefit kwenye hilo na wasisogee suala la ardhi tumesema hatutaki.

3.Watanzania wengi hawapendi kwenda kuishi na kufanya kazi nchi hizo za jumuiya.Wakati wananchi wa nchi hizo wanapenda mno kuja nchini Tanzania.Udenda unawatoka mdomoni na machozi yanawalengalenga kuja Tanzania.Sasa muungano ni kuangalia wananchi wako watafaidika sana? Huangalii kuwa wananchi wa wa nchi nyingine watafaidika sana? Kwa hiyo hatuwezi sainia raia wa nchi nyingine.Watanzania wengi wanapenda nchi yao na kuishi nchini kwao.

4.Muungano ni uhusiano kwanza Uhusiano wa raia wa nchi hizi si mzuri sana.Wananchi wa kawaida hawawaoni wanyarwanda,warundi,waganda na wakenya kama raia wema sana wa kuishi nao kijiji kimoja,au mtaa mmoja.Kila wanapoishi au kufanya kazi na watanzania sehemu moja watanzania hawaongelei vizuri.Wanawajua kama watu wa majidai,wenye dharau na wababe.Watu wa nchi hizo bado hawajawaridhisha watanzania wa kawaida kabisa kama wanaweza kuwa majirani zao wazuri.Wananchi huko mipakani,na ambao wamekutana na watu toka mataifa hayo katika shughuli mbali mbali ziwe za kikazi,kidini,kibiashara, KIKUOANA, kikuishi nao kijirani n.k hawafurahii uhusiano nao wana vitabia si vizuri.Wana ushuhuda mbaya kwa watanzania.Hivyo serikali haiwezi kukurupuka kuruhusu haraka kuwa tuwe na mahusiano ya chap chap kama ya mwanaume na changudoa waliyekutana naye usiku bar.

Hayo ni baadhi tu yako mengi.Niachie hapo.
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?



WaTZ toeni uchambuzi - cost-benefist analysis - ya kujitenga na wenzetu katika EAC badala ya kutoa kejeli na majibu ya reja reja. Mwenzenu ameuliza ili afahamishwe badala ya kumpa majibu mnamkejeli na kuangalia lugha badala ya hoja. Ni ishara ya ama kutokuwa na majibu au hata kutokuwa na weledi wa kutosha kuhusu mada yenyewe. Kama ni hivyo ni bora kunyamaza.


Mkuu kwani katika hiz nchi ni akina nani wlaioanza kujitenga?? mleta uzi ni mchokozi tu hana jipya,
huyu ni maluki tu amekuja hapa kuanglaia upepo unavyovuma, na kinachomtambulisha kuwa ni mamluki kiswahili chake,
 
sort out your Kenya drinking force first!
 
naona umeamua kuja kupima upepo, hatudanganyiki, mnachokitaka toka kwetu hamkipati...hatuhijati chochote toka kwenu, we better die on our feet than live on our knees
 
Hovyooo kiswahili chenyewe hujui, umenichefua kalale mbele huko
WaTZ toeni uchambuzi - cost-benefist analysis - ya kujitenga na wenzetu katika EAC badala ya kutoa kejeli na majibu ya reja reja. Mwenzenu ameuliza ili afahamishwe badala ya kumpa majibu mnamkejeli na kuangalia lugha badala ya hoja. Ni ishara ya ama kutokuwa na majibu au hata kutokuwa na weledi wa kutosha kuhusu mada yenyewe. Kama ni hivyo ni bora kunyamaza.
 
Haya ngoja tuanze kukupa masuala makubwa machache


1.Kuungana nchi lazima kwanza nchi ziwe na usalama na amani ya kutosha ndani ya nchi husika.Rwanda wana vita na waasi ambazo hazijaisha,Uganda usiseme kuna LRA,Kenya ukabila haujaisha na wana Ukabila na wakimbizi wa ndani wanao hadi leo na mavita na AL SHABAB,Burundi vita na waasi bado ipo utulivu na amani bado.Uganda,Rwanda ni mabwana wa vita wanatuhumiwa kongo.Huwezi kuwa na muungano na nchi zisizokuwa na amani na utulivu.Hili ni eneo nyeti huwezi ungana na nchi ziko vitani masaa 24.Kwenye hili tunaona hakuna faida kuungana nao.Cost ni kubwa kuliko benefit.

2.Suala la ardhi wao ardhi ni bidhaa tu na inamilikiwa na wachache sisi hatutaki.Tulipigania uhuru ili tupate ardhi.Wao walipigania uhuru watawale tu ndio maana hawajali wananchi wao kukosa ardhi.Na hili ndilo wanalitaka sana.Watanzania tunasema hatutaki suala la ardhi liwemo kwenye jumuiya.Wananchi wao wanahaha kuhusu ardhi hatutaki litukute ndio maana hatutaki na watuelewe tu.hatuoni benefit kwenye hilo na wasisogee suala la ardhi tumesema hatutaki.

3.Watanzania wengi hawapendi kwenda kuishi na kufanya kazi nchi hizo za jumuiya.Wakati wananchi wa nchi hizo wanapenda mno kuja nchini Tanzania.Udenda unawatoka mdomoni na machozi yanawalengalenga kuja Tanzania.Sasa muungano ni kuangalia wananchi wako watafaidika sana? Huangalii kuwa wananchi wa wa nchi nyingine watafaidika sana? Kwa hiyo hiyo hatuwezi sainia raia wa nchi nyingine.Watanzania wengi wanapenda nchi yao na kuishi nchini kwao.

4.Muungano ni uhusiano kwanza Uhusiano wa raia wa nchi hizi si mzuri sana.Wananchi wa kawaida hawawaoni wanyarwanda,warundi,waganda na wakenya kama raia wema sana wa kuishi nao kijiji kimoja,au mtaa mmoja.Kila wanapoishi au kufanya kazi na watanzania sehemu moja watanzania hawaongelei vizuri.Wanawajua kama watu wa majidai,wenye dharau na wababe.Watu wa nchi hizo bado hawajawaridhisha watanzania wa kawaida kabisa kama wanaweza kuwa majirani zao wazuri.Wananchi huko mipakani,na ambao wamekutana na watu toka mataifa hayo katika shughuli mbali mbali ziwe za kikazi,kidini,kibiashara, KIKUOANA, kikuishi nao kijirani n.k hawafurahii uhusiano nao wana vitabia si vizuri.Wana ushuhuda mbaya kwa watanzania.Hivyo serikali haiwezi kukurupuka kuruhusu haraka kuwa tuwe na mahusiano ya chap chap kama ya mwanaume na changudoa waliyekutana naye usiku bar.

Hayo ni baadhi tu yako mengi.Niachie hapo.
Hayo yote hatukuyajua tangu mchakato wa EAC unaanza, leo ndiyo tunazinduka kwenye usingizi wa pono na kugundua? Protocal ngapi Tanzania imesaini na zote zikiwa ni sehemu ya mchakato mpaka kufikia Shirikisho la Kisiasa? Kutopenda kwenda kufanya kazi katika nchi za wenzetu si kwa sababu ya kupenda nchi bali ni kutojiamini na kutothubutu. Lawama si kwa majirani bali ni kwa sababu ya elimu yetu ya Kayumba. Utasagaje lami miaka mitano bila kazi ung'ang'anie hutaki kutafuta fursa nje kwa sababu wewe ni mpenzi wa nchi? Hata ukifika mipakani utakuta wenzetu wameamka zaidi kibiashara. Wakenya wanakuja mpaka Manyara na Kagera kunua vitunguu na maharage. Kwa nini waTZ wasipeleke na kuuza kule badala ya kuwangoja wenyewe nidyo waje? Kama kuna vizuizi kwa waTZ kupeleka biashara Kenya hiyo ndiyo hoja ya kuongea ndani ya vyombo vya EAC. Kuhusu ardhi suluhisho si kujitenga bali kutunga sheria za nchi ambazo haziwaruhusu wageni kumiliki ardhi. Pamoja na Kenya kuwa na mfumo wa umiliki wa moja kwa moja wa ardhi (freehold) ni wachache wako tayari kuuza ardhi yao kwa wageni. Je, kwa nini waTZ wawe tayari kuuza ardhi kwa wageni au kuwaaacha wageni wakamate ardhi kama haina mwenyewe? Huo ni udhaifu wetu na wala siyo wa majirani. Kwangu mimi ni vizuri zaidi kupambana tukiwa ndani kuliko kulialia tukiwa tumekaa pembeni.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom