Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?
acha kujisingizia ujinga, hivi ni nani ataenda kuungana bila kulinda maslahi yake?, kama maslahi yetu yatakuwa hatarini nyie endeleeni sie hatuji, kwani mwanzo jumuia si ilianza na nchi 3 na sasa mkitutoa mtabaki nchi nne nayo ni maendeleo songeni mbele