Tanzania wacha kujitenga na kulauma wengine pasipo sababu

Tanzania wacha kujitenga na kulauma wengine pasipo sababu

Status
Not open for further replies.
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?






Mkuu kwani katika hiz nchi ni akina nani wlaioanza kujitenga?? mleta uzi ni mchokozi tu hana jipya,
huyu ni maluki tu amekuja hapa kuanglaia upepo unavyovuma, na kinachomtambulisha kuwa ni mamluki kiswahili chake,
Kwenye watu watano wanne wakiwa na uamuzi unaofanana aliyejitenga ni huyo mmoja hata kama anaamini yuko sahihi kuliko wenzake. Hii ni open forum hata mu-Eskimo wa Greenland anaweza kuchangia. Shida yako ni Kiswahili chake au hoja yake?
 
WaTZ toeni uchambuzi - cost-benefist analysis - ya kujitenga na wenzetu katika EAC badala ya kutoa kejeli na majibu ya reja reja. Mwenzenu ameuliza ili afahamishwe badala ya kumpa majibu mnamkejeli na kuangalia lugha badala ya hoja. Ni ishara ya ama kutokuwa na majibu au hata kutokuwa na weledi wa kutosha kuhusu mada yenyewe. Kama ni hivyo ni bora kunyamaza.
Na ww hapo umetoa analysis au?
 
Hayo yote hatukuyajua tangu mchakato wa EAC unaanza, leo ndiyo tunazinduka kwenye usingizi wa pono na kugundua? Protocal ngapi Tanzania imesaini na zote zikiwa ni sehemu ya mchakato mpaka kufikia Shirikisho la Kisiasa? Kutopenda kwenda kufanya kazi katika nchi za wenzetu si kwa sababu ya kupenda nchi bali ni kutojiamini na kutothubutu. Lawama si kwa majirani bali ni kwa sababu ya elimu yetu ya Kayumba. Utasagaje lami miaka mitano bila kazi ung'ang'anie hutaki kutafuta fursa nje kwa sababu wewe ni mpenzi wa nchi? Hata ukifika mipakani utakuta wenzetu wameamka zaidi kibiashara. Wakenya wanakuja mpaka Manyara na Kagera kunua vitunguu na maharage. Kwa nini waTZ wasipeleke na kuuza kule badala ya kuwangoja wenyewe nidyo waje? Kama kuna vizuizi kwa waTZ kupeleka biashara Kenya hiyo ndiyo hoja ya kuongea ndani ya vyombo vya EAC. Kuhusu ardhi suluhisho si kujitenga bali kutunga sheria za nchi ambazo haziwaruhusu wageni kumiliki ardhi. Pamoja na Kenya kuwa na mfumo wa umiliki wa moja kwa moja wa ardhi (freehold) ni wachache wako tayari kuuza ardhi yao kwa wageni. Je, kwa nini waTZ wawe tayari kuuza ardhi kwa wageni au kuwaaacha wageni wakamate ardhi kama haina mwenyewe? Huo ni udhaifu wetu na wala siyo wa majirani. Kwangu mimi ni vizuri zaidi kupambana tukiwa ndani kuliko kulialia tukiwa tumekaa pembeni.
Mcheza kwao hutunzwa na mdharau kwao ni mtumwa ninamashaka sana na ww uliyetoa hii comment ukisifia nchi za wenzako nenda kaishi huko ili unufaike na hayo ya huko!!!
 
Hayo yote hatukuyajua tangu mchakato wa EAC unaanza, leo ndiyo tunazinduka kwenye usingizi wa pono na kugundua? Protocal ngapi Tanzania imesaini na zote zikiwa ni sehemu ya mchakato mpaka kufikia Shirikisho la Kisiasa? Kutopenda kwenda kufanya kazi katika nchi za wenzetu si kwa sababu ya kupenda nchi bali ni kutojiamini na kutothubutu. Lawama si kwa majirani bali ni kwa sababu ya elimu yetu ya Kayumba. Utasagaje lami miaka mitano bila kazi ung'ang'anie hutaki kutafuta fursa nje kwa sababu wewe ni mpenzi wa nchi? Hata ukifika mipakani utakuta wenzetu wameamka zaidi kibiashara. Wakenya wanakuja mpaka Manyara na Kagera kunua vitunguu na maharage. Kwa nini waTZ wasipeleke na kuuza kule badala ya kuwangoja wenyewe nidyo waje? Kama kuna vizuizi kwa waTZ kupeleka biashara Kenya hiyo ndiyo hoja ya kuongea ndani ya vyombo vya EAC. Kuhusu ardhi suluhisho si kujitenga bali kutunga sheria za nchi ambazo haziwaruhusu wageni kumiliki ardhi. Pamoja na Kenya kuwa na mfumo wa umiliki wa moja kwa moja wa ardhi (freehold) ni wachache wako tayari kuuza ardhi yao kwa wageni. Je, kwa nini waTZ wawe tayari kuuza ardhi kwa wageni au kuwaaacha wageni wakamate ardhi kama haina mwenyewe? Huo ni udhaifu wetu na wala siyo wa majirani. Kwangu mimi ni vizuri zaidi kupambana tukiwa ndani kuliko kulialia tukiwa tumekaa pembeni.
Very true, sijui kwa nini Watanzania tunakubali kupandikizwa unyonge na viongozi wetu. Naamini tungeweza kuwa ndani EAC na wakati huo huo tukasimamia interest zetu vizuri tu, hapakuwa na haja ya kukaa pembeni.
 
WaTZ toeni uchambuzi - cost-benefist analysis - ya kujitenga na wenzetu katika EAC badala ya kutoa kejeli na majibu ya reja reja. Mwenzenu ameuliza ili afahamishwe badala ya kumpa majibu mnamkejeli na kuangalia lugha badala ya hoja. Ni ishara ya ama kutokuwa na majibu au hata kutokuwa na weledi wa kutosha kuhusu mada yenyewe. Kama ni hivyo ni bora kunyamaza.

Kule kwenye jukwaa la MMU umepost thread inayokuhusu ww na mpenziwako mkenya, umelalamika sana na tabia zake za ukatili kwako na ukasema bora mwanaume wa kibongo kuliko mkenya...........hizo tabia mbovu za mkenya zimeenda mpaka ktl level ya utaifa. Rafiki wa mlevi ni mlevi, hivyo basi waache wenye tabia zinazofanana wajiunge coz ss si kama wao
 
Kinachotusababisha kujitenga na hawa mandugu ni kwasababu HAWAJUI KISWAHILI na sisi ENGLISH na KIFARANSA hatutaki kuongea kwani sisi sio makoloni ya UK na FRANCE....
 
nimesoma kwa makini yangu ni haya:ili nchi iwe ndani ya muungano ni lazima uangalie yafuatayo,(1),usalama wa nchi na Raia wake,(2),uhusiano wa nchi na nchi au Raia na Raia swali je tuko hivyo? kama sivyo sasa tufanye nini?Museveni dikteta wazi,Kagame nae ana matatizo mengi pia Kenya iwapo wana demokrasia ila wanachangamoto kwa sasa nyingi ikiwemo viongozi wake wa nchi kuhitaji kuungwa mkono ktk kesi yao hivyo kama nchi ni lazima tuangalia uhusiano wetu na nchi hizi ni kweli nchi 3 hizi ni wahanga wa The hague hawana uhakika na tawala zao na pia vita vya ndani mf,Uganda na Rwanda pia Burundi kuna tatizo la waasi na mkanganyiko wa kiutawala huku Al-shabaab hawako mbali hivyo ni lazima kuwa wangalifu ktk kuunda shirikisho sio haraka haraka hivyo pia Raia wa nchi hizi hawana ukarimu kama watanzania ni wabaguzi hata mtanzania ukienda na bidhaa zako huko kunakuwa kuna lugha za ajabu hivyo ni lazima umakini uwepo ktk kuamua, wenzetu walishazoea ukabila,ugomvi generally they 're not civilized let them go hawafai
 
I would prefer to be driven by this important business principle "The higher the risk the higher the return".
 
Wale Munaonge ju ya Alshaabab na kufurahia muko na akili ndogo sana!Kwani munafikiri janga hili haiwezi kuwapata nyinyi?Muachache porojo na upumbavu huko!Sio ati Tanzania iko tajijiri hivyo ndio muringe kama nyinyi ni America.In any case unemployment level yenyu ni ngapi? Are you not just Africans dealing with poverty and witchcraft?Hio insecurity na uncompetitiveness muko nayo ndio munajifungia kwa nyumba mwaogopa watu wengine!
 
Ni nini yakusherekea Alshabab sasa?Kwani unafikiria nyinyi hamuezi pata janga kama hii?Kama hii ndio roho yenyu chafu mukae huko.bure kabisa!
 
Kwani kiswahili ni lugha yako?Wacha kujigamba kwa kitu sio chako or you have nothing else to be proud of?Without other countrires talking Kiswahili do you think it will be significant.Think Global my friend!
 
Nimesoma baada ya comments katika hii forum na imenilazimu niseme yafuatayo:-
Umoja ni Nguvu-i still dont understand the exploitation Tanzanians keep talking about Kenya Kuna Mtu ako na facts anieleze polepole nikaelewa?Ikiwa mko madungu wanne na Moja kila wakati anataka kujitenga nakufuata njia yake si ni yeye anashida wala sio hao mandungu wengine? East Africans are slowly getting fed up with your constact complains about others with no basis.Kwani wakenya au Waganda wana nini yenye hamuna kwamba wakawaexploit?
Watanzania hatulalamiki hata kidogo ,tunawashangaa ninyi mnaolazimisha mambo ili hali sisi tumeshaweka bayana kwamba kuna mambo hatuwezi kukurupuka kuyafanya ya muungano .

Ngoja nikufungue akili kidogo ili ujue watanzania sio wajinga kwenye haya mnayong'ang'ania
1.Kwenye suala la single currency
Je, viwango vya mfumoko wa bei vikoje kwenye nchi zetu ?
Je, viwango hivyo vya mfumoko wa bei vinachangiwa na vyanzo vinavyofanana ?
Je, sheria za fedha za hizi nchi zinafanana ?
Je, nchi zipo tayari kuwa na Gavanor wa fedha mmoja ?
2. Suala la ARDHI
Je , Sheria za ardhi za hizi nchi zinafanana ?


Kipi kianze turekebishe kwanza huku chini ama tuungane tu ili wanasiasa wapate vyeo ?
 
Ndungu utaniruhusu kidogo nichanganye lugha kwani sijazoe kuandika na Kiswahili
1)The way things are no one country can shut up itself and think the insecurity of other countries cannot affect it. Good case is the refugee probleem from Burundi and Rwanda.Even the insecurity and terrorism currently faced in Kenya is because of hosting refugees in their countries.My point is security challenges are best dealt using Multi national Approach
2)Sio ati Tanzania ni tofauti ni kwamba you got a good founding president In the name of Nyerere who set good standsrds of leadership.Now you have the past to refer to as opposed to other countries. This does not mean that other countries are bad they have the same problems you are facing.Infact we share common problems and intersts than what divides us
3)Let no one lie to you you have your own problems such as Zanzibar but one day these problems may boil over.You should never run away from the problems your brother is facing.Leo ni mimi kesho ni wewe.Yes Kenya Rwanda and Uganda have their problems but they are progressing even faster that Tanzania
 
Kinachotusababisha kujitenga na hawa mandugu ni kwasababu HAWAJUI KISWAHILI na sisi ENGLISH na KIFARANSA hatutaki kuongea kwani sisi sio makoloni ya UK na FRANCE....

Na HATUTAKI KUAMBUKIZWA KUVAA SUTI HATA KWENYE KAZI YA KUMWAGA ZEGE!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom