Tanzania Vs Morocco

Tanzania Vs Morocco

Goooooooooooooooooo nilisema kaaruguuuuuuuuuuuu kaarufuuuuuuuuuuuuuuuu
3
 
yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssssssssssss
 
Taifa Stars made me proud today hahahahaha
 
Taifa Starz chini ya Mbwana Samata na Juma K. Juma hakika inatisha.
 
Asante mwenyezi Mungu, leo lazima niende kanisani namna hii. Naona na lile bango Tanzania 3 - morocco 0 lileeeeeeeeeeeeee uwanjani linapeperushwa.
 
ni mchezaji kama walivyo wachezaji wengine!labda added advantage kwake ni kuwa anacheza mpira wa kulipea TP Mazembe!!
... Watu wachache sana siku hizi wakuiletea sifa Tanzania ... sioni hata mbunge mmoja mwenye sifa za huyu ... nani?
 
Back
Top Bottom