Tanzania Vs Morocco

Tanzania Vs Morocco

Naipenda Offside tric wanaoicheza Stars. Waarabu wanajikuta peke yao peupee!
 
Hehehe Livescore.com chai sana eti Kafunga ulimwengu[TABLE="class: match-details match-ellipsis league-table mtn"][TR][TH="class: sts"]
flash.gif
65' [/TH] [TH="class: home"] Tanzania [/TH] [TH="class: sco"] 1 - 0 [/TH] [TH="class: awy"] Morocco [/TH] [/TR] [TR="class: partials"] [TH="class: sts"][/TH] [TH="class: home"]half-time:[/TH] [TH="class: sco"](0 - 0)[/TH] [TH="class: awy"][/TH] [/TR] [TR] [TH="class: title, colspan: 4"]match details :[/TH] [/TR] [TR="class: even"] [TD="class: min"]46'[/TD] [TD="class: ply"] Thomas Ulimwengu [/TD] [TD="class: sco"] 1 - 0 [/TD] [TD="class: ply"] [/TD][/TR][/TABLE]
Hii ni habari kubwa ... keep on Taifa Stars
 
Yaani TBC kweli ni matatizo mtupu...yaani hawawezi kabisa kusoma alama za nyakati...na kutoa uamuzi wa maana. Rais wa China wapi na wapi !
Mkuu China walijenga ule uwanja!! Acha watuchungulie hadi uvunguni. Na safari anakuja kutia sahihi 17, hadi zile barabara kuu mtakuwa mnalipia ushuru. Mbaya zaidi tunajizidi kujifunga kiasi kwamba kuchomoka itatubidi kusacrifice baadhi ya vitu.
 
yaani hakuna hata sababu ya kuwa na TBC1 na TBC2!!!kwanini moja isiende kumlaki huyo rais nyingine ikabaki na soka!!
wadau nauliza swali la kizushi hivi hizi TV zingine kama star tv na ITV huwa haziruhusiwi kuonesha mechi za timu ya taifa mpaka hao tu TBC au utaratibu ukoje mwenye ufahamu anijuze maana naona mizengwe imekuwa mingi sana
 
Lapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiili
 
statistics zinaonyesa goli la kwanza Ulimwengu na la pili Samata!!!
 
Kuna shabiki uwanjani ana bango Tanzania 3 - morocco 0, naona kweli yanatimia hapa!!!
 
asante Mungu ni muda mwingine, tunapata goli lingine na mchezaji mwingine katupia lingine... ahahahahaaaaa!
 
Bora wawapige hata 5-0

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom