Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
mkuu tumepewa na nani hii kitu!!nataka nikamshukuru!!tumepata dawa ya kuwanyoa waraabu.!
mkuu tumepewa na nani hii kitu!!nataka nikamshukuru!!tumepata dawa ya kuwanyoa waraabu.!
Thomas Ulimwengumfungaji wa goli la pili nan?
naona uwenda wazimu wetu umekwisha sasa.
Taifa Starz chini ya Mbwana Samata na Juma K. Juma hakika inatisha.
umeonaeeeeh!!!au na sisi machangu doa wametoa ahadi!!!Leo kiboko...
na iwe hivyo mkuu,maana tuna siku hatujashinda zaidi ya goli 1Nasikia kaarufu ka goli la 4
naona uwenda wazimu wetu umekwisha sasa.
mkuu tumepewa na nani hii kitu!!nataka nikamshukuru!!