Benzoic
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 421
- 149
Ulimwengumliopo uwanjan nan kafunga goli? Tbc wanaomba msaada china.
Ulimwengumliopo uwanjan nan kafunga goli? Tbc wanaomba msaada china.
yaani hakuna hata sababu ya kuwa na TBC1 na TBC2!!!kwanini moja isiende kumlaki huyo rais nyingine ikabaki na soka!!Tbc1 sasa wanamlaki rais wa china. du
mliopo uwanjan nan kafunga goli? Tbc wanaomba msaada china.
Mbona hawa tbc hawaonyeshi....wapuuzi sana.
Mbwana samata
hiki bado kiko live ATDHE | Tanzania vs MoroccoWaarabu wamezima kideo chao, wameona mmh!
Yaani TBC kweli ni matatizo mtupu...yaani hawawezi kabisa kusoma alama za nyakati...na kutoa uamuzi wa maana. Rais wa China wapi na wapi !Nawaona tbc wameanza kutangaza
Yaani TBC kweli ni matatizo mtupu...yaani hawawezi kabisa kusoma alama za nyakati...na kutoa uamuzi wa maana. Rais wa China wapi na wapi !