only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
lkn hii style yao ya kuita wachezaji wanaocheza nje bila kujua viwango vyao vikoje kwa wakati husika sidhani kama itatusaidia kwa kiwango alichoonyesha Machupa kwa kweli nasema hapana mara kumi ku2mia wachezaji wa ndani,Nurdini Bakari hafai kuchezea timu ya taifa magoli aliyokosa ni
Naungana na wewe...Machupa hamna kitu pale,natabiri Poulsen hawezi kumwita tena.....................Nurdin nadhani ni bahati mbaya.....