Karia karia karia ndio tatizo...unasemaje wewe dogo...haya ni mawazo yangu Mimi..Chini ya Karia ligi kuu imepeleka timu 4 mashindano ya caf, nikumbushe raisi yupi wa tff aliyefikia hayo mafanikio.
Karia ndio tatizo...kwako wewe Karia ameleta mafanikio kupeleka timu nne caf...ni mawazo yako wewe..