Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Tanzania !
Napenda kutoa na kupendekeza mawazo yangu juu ya kuondoa na kupunguza tatizo la ajira hapa nchini.
Inahitajika Tsh.10 bilioni tu kwa kila mkoa.
Mfano case study ni Mkoa wa Mwanza.
1. Kiwanda cha kushona nguo ( viwanda 2 @ Tsh.1.5 bilioni = Tsh.3 bilioni)
Viwanda vitatengeneza ajira zisizo rasmi 100 na ajira rasmi 500. Jumla vijana watapata ajira 1,200 katika hivyo viwanda.
2. Kiwanda cha kuku ( 1 @ Tsh.3.5 bilioni)
Hiki kiwanda kitatengeneza ajira zisizo rasmi na rasmi 3,000.
3. Kiwanda cha urembo ( 3 @ Tsh.1 bilioni = Tsh.3 bilioni )
Viwanda hivi vitaweza kuajiri vijana zaidi ya 1000 kwa kila kiwanda maana yake ni jumla ya wafanyakazi 3,000.
4. Kiwanda cha Samani ( 1 @Tsh. 500 milioni)
Hiki kiwanda kitaweza kuajiri vijana 350.
Jumla ya mtaji ni Tsh.10 bilioni kwa mkoa.
Ajira ( Vijana ) ni 7,550 hii ni kwa mkoa wa Mwanza tu.
Jumla viwanda 7 vipya kabisa.
NB
a) Nyaraka muhimu kuhusu biashara zipo kabisa.
b) Serikali mtakusanya mapato mpaka mkimbie.
c) Nchi itapata maendeleo ya kasi sana.
d) Soko la bidhaa lipo kubwa sana.
CHUKUA MAAMUZI.
Napenda kutoa na kupendekeza mawazo yangu juu ya kuondoa na kupunguza tatizo la ajira hapa nchini.
Inahitajika Tsh.10 bilioni tu kwa kila mkoa.
Mfano case study ni Mkoa wa Mwanza.
1. Kiwanda cha kushona nguo ( viwanda 2 @ Tsh.1.5 bilioni = Tsh.3 bilioni)
Viwanda vitatengeneza ajira zisizo rasmi 100 na ajira rasmi 500. Jumla vijana watapata ajira 1,200 katika hivyo viwanda.
2. Kiwanda cha kuku ( 1 @ Tsh.3.5 bilioni)
Hiki kiwanda kitatengeneza ajira zisizo rasmi na rasmi 3,000.
3. Kiwanda cha urembo ( 3 @ Tsh.1 bilioni = Tsh.3 bilioni )
Viwanda hivi vitaweza kuajiri vijana zaidi ya 1000 kwa kila kiwanda maana yake ni jumla ya wafanyakazi 3,000.
4. Kiwanda cha Samani ( 1 @Tsh. 500 milioni)
Hiki kiwanda kitaweza kuajiri vijana 350.
Jumla ya mtaji ni Tsh.10 bilioni kwa mkoa.
Ajira ( Vijana ) ni 7,550 hii ni kwa mkoa wa Mwanza tu.
Jumla viwanda 7 vipya kabisa.
NB
a) Nyaraka muhimu kuhusu biashara zipo kabisa.
b) Serikali mtakusanya mapato mpaka mkimbie.
c) Nchi itapata maendeleo ya kasi sana.
d) Soko la bidhaa lipo kubwa sana.
CHUKUA MAAMUZI.