Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,327
- 8,243
Tanzania tupo underperformance sana tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.