Tanzania tunafeli wapi kwenye elimu

Teknocrat

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
7,958
Reaction score
15,753
Tuna wahitimu kila mwaka kutoka kwenye vyuo vikuu i.e. UDSM, SUA, UDOM, DIT, AIT,
Hata kwenye project zao hakuna wanachovumbua hata concept tu
Duuh!!
Au wanaenda kukariri na kujibu mitihani, na nasikia eti huwa kuna Tuition kwa wanafunzi wa University! SHAME!!!!





Kenyan school girls’ Sh100 invention wins UN award



A bloodless malaria test by a young Ugandan inventor won Africa’s top engineering prize


Kenyan Maths and Physics teacher Peter Tabichi has won the Global Teacher Prize 2019



The biomedical smart jacket that diagnoses pneumonia using Bluetooth invented by Ugandan Biomedical Engineering students won awards



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…