Tanzania tuna amani ila uhuru wetu umebagazwa na kubanangwa

Tanzania tuna amani ila uhuru wetu umebagazwa na kubanangwa

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,529
Reaction score
21,530
file_0000000055ec71fd87ea5b2484893222.png


My people,​


Kumekuwa bado na mijadala ya hapa na pale kuhusiana na je Tanzania kuna amani? Na wengine wakisema hakuna haki au wanasema haki kwanza,au amani ni tunda la haki

Haki huja baada ya amani kuwepo sehemu yoyote ile duniani,kwani uwepo wa amani ndio hufungua kurasa nyingine za mazungumzo na maelewano,mfano kinachoendelea leo pale Ukraine na Urusi ni vita na hakuna amani,kwa mazingira yale hakutakuwa na haki kwasababu haki ni zao la amani,vita visimame ndio wazungumze,kuona je Ukraine ana haki kama nchi huru kujiunga na Umoja wa Nato au kujiunga kwake anahatarisha usalama wa Urusi

Wote ni mashahidi baada ya vita ya siku 12 kati ya Iran na Israel,ili amani ipatikane,ilibidi wasimamishe vita na kufanya mazungumzo ya kusitisha vita na kuleta amani ndio kisha mambo mengine yaendelee

Hapana haki inayoweza kupiganiwa au kudaiwa kwenye mazingira ya vita,hakuna haki inayoweza kudaiwa kwenye mazingira ya fujo na vurugu,lazima kwanza pawepo na Amani kisha mambo mengine ndio yafuatiye

Na amani ni moja ikiwepo utaona athari zake mara moja na amani isipokuwepo pia utaona athari mara moja,lakini haki ikiwepo au isipokuwepo huwezi ona athari yake mara moja kwasababu haki ni mjumuisho wa vipengele vingi au mambo mengi ambayo hayana athari ya moja kwa moja kama ambavyo amani ikiondoka utaona athari ya moja kwa moja

Mfano leo hii amani ya Tanzania ikiondoka mara moja,wote tutaathirika tupende tusipende,kwakuwa penye mazingira ya fujo na vurugu hakuna shughuli ambazo zitafanyika

Lakini inapokosekana haki ya kutoa maoni na mawazo ambayo hatuna sasa sio wote tunao athirika bali ni wale ambao wanadai haki hiyo tu ndio wanao athirika,mfano wanaotekwa wote ni wale ambao wanatoa mawazo yao na maoni yao dhidi ya Serikali, kwahiyo ukiwa mtulivu na kujua kujichunga na kujiweka mbali na matatizo utakuwa salama

Kwahiyo mpaka hapo tumeona kwamba Tanzania tuna amani na ndio maana shughuli zinaendelea kama kawaida,wanao lima wanalima,wanafabiashara wanafanya biashara zao na wanao beti wanabeti ingawa ni haramu,pamoja na kwamba kuna haki tunazikosa .

Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni na mawazo,hakuna uhuru wa kuchagua viongozi tunao wataka,maana uhuru ni kujifanyia mambo yetu bila kubagazwa au kubanangwa

Na si kila haki yenye kugaiwa,mfano huwezi kudai haki ya kutambuliwa kwa mashoga hapa Tanzania,lakini bado utainjoy amani ya nchi hii,hakuna haki ya kutoa mawazo yako na maoni yako pasina kuchunga mipaka,kwasababu uhuru wako wa kutoa maoni na mawazo unaishia pale uhuru na haki ya wengine inapoanzia

Kwahiyo ndugu zangu watanzania, hapa Tanzania tuna amani na tuendelee kuilinda amani yetu kwani ni tunu kubwa sana basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
 
WANASIASA BAADHI WAO WANATULAZIMISHA TUDAI HAKI ZITAKAZOWAPA MADARAKA NA VYEO NA SIO HAKI ZA KUMKOMBOA MWANANCHI KIFIKRA , NA KIUCHUMU


HAWAWEKI WAZI UHUSIANO UTAKAOPATIKANA KATI YA SHERIA ZA UCHAGUZI , KATIBA MPYA NA MAISHA YA MWANANCHI WA KAWAIDA.


MFANO KULE KENYA , WANA KATIBA NZURI SANA , NA MIFUMO BORA YA UCHAGUZI

ILA WAKENYA WANA MAISHA MAGUMU SANA , HAWANA ARDHI YA KULIMA , ARDHI YOTE WANAMILIKI WANASIASA AKINA ODINGA NA UHURU N.K


UKISOMA UCHUMI WAO UNAONEKANA NI MKUBWA

HII NI KWAKUWA WANA MABENKI MENGI YANA OPERATE SHUGHULI ZAO HAPO KENYA

ILA UKIJA KUANGALIA DEEPLY UNAONA PESA YOTE KUBWA INAYOZALISHWA KENYA HAITUMIKI KENYA


KWAHIYO UKISEMA UNADAI HAKI EBU ONESHA HIYO HAKI ITALETA VIPI USTAWI WA WATU


MAANA UKIANGALIA HAWA VIONGOZI WA UPINZANI WOTE NI OPPORTUNISTIC WAMEJILIMBIKIZIA MALI , MAHEKALU N.K

UKIWAULZA WAMEPATA WAPI HIZO MALI HAWATOI USHIRIKIANO


...
 
View attachment 3521700

My people,​


Kumekuwa bado na mijadala ya hapa na pale kuhusiana na je Tanzania kuna amani? Na wengine wakisema hakuna haki au wanasema haki kwanza,au amani ni tunda la haki

Haki huja baada ya amani kuwepo sehemu yoyote ile duniani,kwani uwepo wa amani ndio hufungua kurasa nyingine za mazungumzo na maelewano,mfano kinachoendelea leo pale Ukraine na Urusi ni vita na hakuna amani,kwa mazingira yale hakutakuwa na haki kwasababu haki ni zao la amani,vita visimame ndio wazungumze,kuona je Ukraine ana haki kama nchi huru kujiunga na Umoja wa Nato au kujiunga kwake anahatarisha usalama wa Urusi

Wote ni mashahidi baada ya vita ya siku 12 kati ya Iran na Israel,ili amani ipatikane,ilibidi wasimamishe vita na kufanya mazungumzo ya kusitisha vita na kuleta amani ndio kisha mambo mengine yaendelee

Hapana haki inayoweza kupiganiwa au kudaiwa kwenye mazingira ya vita,hakuna haki inayoweza kudaiwa kwenye mazingira ya fujo na vurugu,lazima kwanza pawepo na Amani kisha mambo mengine ndio yafuatiye

Na amani ni moja ikiwepo utaona athari zake mara moja na amani isipokuwepo pia utaona athari mara moja,lakini haki ikiwepo au isipokuwepo huwezi ona athari yake mara moja kwasababu haki ni mjumuisho wa vipengele vingi au mambo mengi ambayo hayana athari ya moja kwa moja kama ambavyo amani ikiondoka utaona athari ya moja kwa moja

Mfano leo hii amani ya Tanzania ikiondoka mara moja,wote tutaathirika tupende tusipende,kwakuwa penye mazingira ya fujo na vurugu hakuna shughuli ambazo zitafanyika

Lakini inapokosekana haki ya kutoa maoni na mawazo ambayo hatuna sasa sio wote tunao athirika bali ni wale ambao wanadai haki hiyo tu ndio wanao athirika,mfano wanaotekwa wote ni wale ambao wanatoa mawazo yao na maoni yao dhidi ya Serikali, kwahiyo ukiwa mtulivu na kujua kujichunga na kujiweka mbali na matatizo utakuwa salama

Kwahiyo mpaka hapo tumeona kwamba Tanzania tuna amani na ndio maana shughuli zinaendelea kama kawaida,wanao lima wanalima,wanafabiashara wanafanya biashara zao na wanao beti wanabeti ingawa ni haramu,pamoja na kwamba kuna haki tunazikosa .

Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni na mawazo,hakuna uhuru wa kuchagua viongozi tunao wataka,maana uhuru ni kujifanyia mambo yetu bila kubagazwa au kubanangwa

Na si kila haki yenye kugaiwa,mfano huwezi kudai haki ya kutambuliwa kwa mashoga hapa Tanzania,lakini bado utainjoy amani ya nchi hii,hakuna haki ya kutoa mawazo yako na maoni yako pasina kuchunga mipaka,kwasababu uhuru wako wa kutoa maoni na mawazo unaishia pale uhuru na haki ya wengine inapoanzia

Kwahiyo ndugu zangu watanzania, hapa Tanzania tuna amani na tuendelee kuilinda amani yetu kwani ni tunu kubwa sana basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
Screenshot_20251222-120716~2.png
 
Haki huwa haombwi km amani
Haki udaiwa ukishindwa kuipata utatumia namna yoyote hata kwa nguvu

Nyie pimbi viazi machawa kwenu haki ni km tusi..
Ndo maana mahakama zenu mmejaza mahakimu na wanasheria viazi na mapimbi km wewe

Futeni hizo mahakama basi mbaki na "amani"

Pimbi kiazi wee!
 
WANASIASA BAADHI WAO WANATULAZIMISHA TUDAI HAKI ZITAKAZOWAPA MADARAKA NA VYEO NA SIO HAKI ZA KUMKOMBOA MWANANCHI KIFIKRA , NA KIUCHUMU


HAWAWEKI WAZI UHUSIANO UTAKAOPATIKANA KATI YA SHERIA ZA UCHAGUZI , KATIBA MPYA NA MAISHA YA MWANANCHI WA KAWAIDA.


MFANO KULE KENYA , WANA KATIBA NZURI SANA , NA MIFUMO BORA YA UCHAGUZI

ILA WAKENYA WANA MAISHA MAGUMU SANA , HAWANA ARDHI YA KULIMA , ARDHI YOTE WANAMILIKI WANASIASA AKINA ODINGA NA UHURU N.K


UKISOMA UCHUMI WAO UNAONEKANA NI MKUBWA

HII NI KWAKUWA WANA MABENKI MENGI YANA OPERATE SHUGHULI ZAO HAPO KENYA

ILA UKIJA KUANGALIA DEEPLY UNAONA PESA YOTE KUBWA INAYOZALISHWA KENYA HAITUMIKI KENYA


KWAHIYO UKISEMA UNADAI HAKI EBU ONESHA HIYO HAKI ITALETA VIPI USTAWI WA WATU


MAANA UKIANGALIA HAWA VIONGOZI WA UPINZANI WOTE NI OPPORTUNISTIC WAMEJILIMBIKIZIA MALI , MAHEKALU N.K

UKIWAULZA WAMEPATA WAPI HIZO MALI HAWATOI USHIRIKIANO


...
Hiyo ipo wazi kabisa, ambao hawapo leo madarakani wakipata madaraka watakuwa kama hao ambao wapo leo

Binafsi wanasiasa wote wana hulka moja tu ni wabinafsi,hujiangalia wao kwanza kabla ya wananchi wao

Lau wanasiasa wengi wangekuwa wanaweka kipaumbele cha nchi kwanza au wananchi kwanza tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana
 
WANASIASA BAADHI WAO WANATULAZIMISHA TUDAI HAKI ZITAKAZOWAPA MADARAKA NA VYEO NA SIO HAKI ZA KUMKOMBOA MWANANCHI KIFIKRA , NA KIUCHUMU


HAWAWEKI WAZI UHUSIANO UTAKAOPATIKANA KATI YA SHERIA ZA UCHAGUZI , KATIBA MPYA NA MAISHA YA MWANANCHI WA KAWAIDA.


MFANO KULE KENYA , WANA KATIBA NZURI SANA , NA MIFUMO BORA YA UCHAGUZI

ILA WAKENYA WANA MAISHA MAGUMU SANA , HAWANA ARDHI YA KULIMA , ARDHI YOTE WANAMILIKI WANASIASA AKINA ODINGA NA UHURU N.K


UKISOMA UCHUMI WAO UNAONEKANA NI MKUBWA

HII NI KWAKUWA WANA MABENKI MENGI YANA OPERATE SHUGHULI ZAO HAPO KENYA

ILA UKIJA KUANGALIA DEEPLY UNAONA PESA YOTE KUBWA INAYOZALISHWA KENYA HAITUMIKI KENYA


KWAHIYO UKISEMA UNADAI HAKI EBU ONESHA HIYO HAKI ITALETA VIPI USTAWI WA WATU


MAANA UKIANGALIA HAWA VIONGOZI WA UPINZANI WOTE NI OPPORTUNISTIC WAMEJILIMBIKIZIA MALI , MAHEKALU N.K

UKIWAULZA WAMEPATA WAPI HIZO MALI HAWATOI USHIRIKIANO


...
Hiyo ipo wazi kabisa, ambao hawapo leo madarakani wakipata madaraka watakuwa kama hao ambao wapo leo

Binafsi wanasiasa wote wana hulka moja tu ni wabinafsi,hujiangalia wao kwanza kabla ya wananchi wao

Lau wanasiasa wengi wangekuwa wanaweka kipaumbele cha nchi kwanza au wananchi kwanza tungekuwa tumepiga hatua kubwa sa
 
Haki huwa haombwi km amani
Haki udaiwa ukishindwa kuipata utatumia namna yoyote hata kwa nguvu

Nyie pimbi viazi machawa kwenu haki ni km tusi..
Ndo maana mahakama zenu mmejaza mahakimu na wanasheria viazi na mapimbi km wewe

Futeni hizo mahakama basi mbaki na "amani"

Pimbi kiazi wee!
Ukishavuruga amani ya nchi usitegemee utaipata haki,na kadri utakavyojifanya unatumia nguvu kuidai ndio utakavyo athirika zaidi

Dola ina nguvu ina miliki silaha kwahiyo huwezi kuiangusha kirahisi kama mnavyodhani

Niliwahi kusema na nina rudia tena hamuwezi kuiangusha serikali kama vyombo vya ulinzi na usalama vipo upande wa serikali, never hii ikae kwenye vichwa vyenu
 
Haki huwa haombwi km amani
Haki udaiwa ukishindwa kuipata utatumia namna yoyote hata kwa nguvu

Nyie pimbi viazi machawa kwenu haki ni km tusi..
Ndo maana mahakama zenu mmejaza mahakimu na wanasheria viazi na mapimbi km wewe

Futeni hizo mahakama basi mbaki na "amani"

Pimbi kiazi wee!
Ukishavuruga amani ya nchi usitegemee utaipata haki,na kadri utakavyojifanya unatumia nguvu kuidai ndio utakavyo athirika zaidi

Dola ina nguvu ina miliki silaha kwahiyo huwezi kuiangusha kirahisi kama mnavyodhani

Niliwahi kusema na nina rudia tena hamuwezi kuiangusha serikali kama vyombo vya ulinzi na usalama vipi upande wa serikali, never hii ikae kwenye vichwa
 
View attachment 3521700

My people,​


Kumekuwa bado na mijadala ya hapa na pale kuhusiana na je Tanzania kuna amani? Na wengine wakisema hakuna haki au wanasema haki kwanza,au amani ni tunda la haki

Haki huja baada ya amani kuwepo sehemu yoyote ile duniani,kwani uwepo wa amani ndio hufungua kurasa nyingine za mazungumzo na maelewano,mfano kinachoendelea leo pale Ukraine na Urusi ni vita na hakuna amani,kwa mazingira yale hakutakuwa na haki kwasababu haki ni zao la amani,vita visimame ndio wazungumze,kuona je Ukraine ana haki kama nchi huru kujiunga na Umoja wa Nato au kujiunga kwake anahatarisha usalama wa Urusi

Wote ni mashahidi baada ya vita ya siku 12 kati ya Iran na Israel,ili amani ipatikane,ilibidi wasimamishe vita na kufanya mazungumzo ya kusitisha vita na kuleta amani ndio kisha mambo mengine yaendelee

Hapana haki inayoweza kupiganiwa au kudaiwa kwenye mazingira ya vita,hakuna haki inayoweza kudaiwa kwenye mazingira ya fujo na vurugu,lazima kwanza pawepo na Amani kisha mambo mengine ndio yafuatiye

Na amani ni moja ikiwepo utaona athari zake mara moja na amani isipokuwepo pia utaona athari mara moja,lakini haki ikiwepo au isipokuwepo huwezi ona athari yake mara moja kwasababu haki ni mjumuisho wa vipengele vingi au mambo mengi ambayo hayana athari ya moja kwa moja kama ambavyo amani ikiondoka utaona athari ya moja kwa moja

Mfano leo hii amani ya Tanzania ikiondoka mara moja,wote tutaathirika tupende tusipende,kwakuwa penye mazingira ya fujo na vurugu hakuna shughuli ambazo zitafanyika

Lakini inapokosekana haki ya kutoa maoni na mawazo ambayo hatuna sasa sio wote tunao athirika bali ni wale ambao wanadai haki hiyo tu ndio wanao athirika,mfano wanaotekwa wote ni wale ambao wanatoa mawazo yao na maoni yao dhidi ya Serikali, kwahiyo ukiwa mtulivu na kujua kujichunga na kujiweka mbali na matatizo utakuwa salama

Kwahiyo mpaka hapo tumeona kwamba Tanzania tuna amani na ndio maana shughuli zinaendelea kama kawaida,wanao lima wanalima,wanafabiashara wanafanya biashara zao na wanao beti wanabeti ingawa ni haramu,pamoja na kwamba kuna haki tunazikosa .

Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni na mawazo,hakuna uhuru wa kuchagua viongozi tunao wataka,maana uhuru ni kujifanyia mambo yetu bila kubagazwa au kubanangwa

Na si kila haki yenye kugaiwa,mfano huwezi kudai haki ya kutambuliwa kwa mashoga hapa Tanzania,lakini bado utainjoy amani ya nchi hii,hakuna haki ya kutoa mawazo yako na maoni yako pasina kuchunga mipaka,kwasababu uhuru wako wa kutoa maoni na mawazo unaishia pale uhuru na haki ya wengine inapoanzia

Kwahiyo ndugu zangu watanzania, hapa Tanzania tuna amani na tuendelee kuilinda amani yetu kwani ni tunu kubwa sana basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana
WANASIASA BAADHI WAO WANATULAZIMISHA TUDAI HAKI ZITAKAZOWAPA MADARAKA NA VYEO NA SIO HAKI ZA KUMKOMBOA MWANANCHI KIFIKRA , NA KIUCHUMU


HAWAWEKI WAZI UHUSIANO UTAKAOPATIKANA KATI YA SHERIA ZA UCHAGUZI , KATIBA MPYA NA MAISHA YA MWANANCHI WA KAWAIDA.


MFANO KULE KENYA , WANA KATIBA NZURI SANA , NA MIFUMO BORA YA UCHAGUZI

ILA WAKENYA WANA MAISHA MAGUMU SANA , HAWANA ARDHI YA KULIMA , ARDHI YOTE WANAMILIKI WANASIASA AKINA ODINGA NA UHURU N.K


UKISOMA UCHUMI WAO UNAONEKANA NI MKUBWA

HII NI KWAKUWA WANA MABENKI MENGI YANA OPERATE SHUGHULI ZAO HAPO KENYA

ILA UKIJA KUANGALIA DEEPLY UNAONA PESA YOTE KUBWA INAYOZALISHWA KENYA HAITUMIKI KENYA


KWAHIYO UKISEMA UNADAI HAKI EBU ONESHA HIYO HAKI ITALETA VIPI USTAWI WA WATU


MAANA UKIANGALIA HAWA VIONGOZI WA UPINZANI WOTE NI OPPORTUNISTIC WAMEJILIMBIKIZIA MALI , MAHEKALU N.K

UKIWAULZA WAMEPATA WAPI HIZO MALI HAWATOI USHIRIKIANO


...

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
Tunataka haki ili tuone ni kwa namna gani itaondoa amani. Kama unaongelea amani kwa maana ya amani, huwezi kuonyesha haki ni hatari kwa amani. Ww unazungumzia madaraka bila kujali yanapatikana vipi, hivyo uko hapa kulinda madaraka ya viongozi majizi kwa kichaka cha amani. Ndio maana unasema wanaoikosoa serekali wanajiingiza matatizoni, maana unajua viongozi wa serekali hawatawali kwa haki, bali uoga, hivyo yoyote asiye muoga wanaweza kumpoteza.

Inshort hutetei amani kwa umuhimu wa amani, bali ni mtetea uovu unayepandikiza uoga. Zama zimebadilika mzee, na msipokubali kuwa zama zenu zimepita mtaaingiza nchi hii kwenye matatizo makubwa. Kama hamtakiwi si mkae pembeni, kwani lazima iwe nyie tu?
 
Ukishavuruga amani ya nchi usitegemee utaipata haki,na kadri utakavyojifanya unatumia nguvu kuidai ndio utakavyo athirika zaidi

Dola ina nguvu ina miliki silaha kwahiyo huwezi kuiangusha kirahisi kama mnavyodhani

Niliwahi kusema na nina rudia tena hamuwezi kuiangusha serikali kama vyombo vya ulinzi na usalama vipi upande wa serikali, never hii ikae kwenye vichwa
Inaonekana somo la history ulikuwa una dodge au tu ukiazi wako tu

Hivi mpaka leo hujui ni serikali ngapi duniani zenye dola kamili zimeangushwa na wananchi wake?!

Pimbi ni pimbi tu!
 
View attachment 3521700

My people,​


Kumekuwa bado na mijadala ya hapa na pale kuhusiana na je Tanzania kuna amani? Na wengine wakisema hakuna haki au wanasema haki kwanza,au amani ni tunda la haki

Haki huja baada ya amani kuwepo sehemu yoyote ile duniani,kwani uwepo wa amani ndio hufungua kurasa nyingine za mazungumzo na maelewano,mfano kinachoendelea leo pale Ukraine na Urusi ni vita na hakuna amani,kwa mazingira yale hakutakuwa na haki kwasababu haki ni zao la amani,vita visimame ndio wazungumze,kuona je Ukraine ana haki kama nchi huru kujiunga na Umoja wa Nato au kujiunga kwake anahatarisha usalama wa Urusi

Wote ni mashahidi baada ya vita ya siku 12 kati ya Iran na Israel,ili amani ipatikane,ilibidi wasimamishe vita na kufanya mazungumzo ya kusitisha vita na kuleta amani ndio kisha mambo mengine yaendelee

Hapana haki inayoweza kupiganiwa au kudaiwa kwenye mazingira ya vita,hakuna haki inayoweza kudaiwa kwenye mazingira ya fujo na vurugu,lazima kwanza pawepo na Amani kisha mambo mengine ndio yafuatiye

Na amani ni moja ikiwepo utaona athari zake mara moja na amani isipokuwepo pia utaona athari mara moja,lakini haki ikiwepo au isipokuwepo huwezi ona athari yake mara moja kwasababu haki ni mjumuisho wa vipengele vingi au mambo mengi ambayo hayana athari ya moja kwa moja kama ambavyo amani ikiondoka utaona athari ya moja kwa moja

Mfano leo hii amani ya Tanzania ikiondoka mara moja,wote tutaathirika tupende tusipende,kwakuwa penye mazingira ya fujo na vurugu hakuna shughuli ambazo zitafanyika

Lakini inapokosekana haki ya kutoa maoni na mawazo ambayo hatuna sasa sio wote tunao athirika bali ni wale ambao wanadai haki hiyo tu ndio wanao athirika,mfano wanaotekwa wote ni wale ambao wanatoa mawazo yao na maoni yao dhidi ya Serikali, kwahiyo ukiwa mtulivu na kujua kujichunga na kujiweka mbali na matatizo utakuwa salama

Kwahiyo mpaka hapo tumeona kwamba Tanzania tuna amani na ndio maana shughuli zinaendelea kama kawaida,wanao lima wanalima,wanafabiashara wanafanya biashara zao na wanao beti wanabeti ingawa ni haramu,pamoja na kwamba kuna haki tunazikosa .

Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni na mawazo,hakuna uhuru wa kuchagua viongozi tunao wataka,maana uhuru ni kujifanyia mambo yetu bila kubagazwa au kubanangwa

Na si kila haki yenye kugaiwa,mfano huwezi kudai haki ya kutambuliwa kwa mashoga hapa Tanzania,lakini bado utainjoy amani ya nchi hii,hakuna haki ya kutoa mawazo yako na maoni yako pasina kuchunga mipaka,kwasababu uhuru wako wa kutoa maoni na mawazo unaishia pale uhuru na haki ya wengine inapoanzia

Kwahiyo ndugu zangu watanzania, hapa Tanzania tuna amani na tuendelee kuilinda amani yetu kwani ni tunu kubwa sana basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
Na mtu yeyote anayeshabikia CCM eidha chawa ni agent wa terrorism kwa hiyo tuna mtambua kama terrorist
 
Umeuficha uchawa wako kwenye paragraph ndefu za andiko lako lakini chawa detection system ya imekudaka
 
Katika kitu cha kuomba Mungu siku zote Katika nchi yetu ni kuomba sana Mungu atuondolee wasomi wapumbavu

Ambao hawana msaada kwa jamii zao, halafu ajabu ni kwamba serikali zetu Afrika inawapiga vijana kama Malisa G na kuwakumbatia sampuli kama hii
 
Tanzania kuna aman gani zaidi ya utulivu? Utakua na aman mahali mnatawaliwa ki mabavu, watu wanatekwa na kuuwawa? Oyah wew kilaza, tofautisha kati ya aman na utulivu.
 
Back
Top Bottom