Tanzania tumeshika nafasi ya pili juu ya matumizi ya technology yenye tija kwa maendeleo

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Tanzania imetajwa kuwa ya pili Kati ya nchi 40 Afrika zilizofanyiwa utafiti juu ya matumizi ya technology yenye tija kwa maendeleo. Maendeleo Tanzania yatalipuka kwa kesi kwa kuwekeza kwenye nafasi hii tuliyoishika ambayo kwa mtazamo wangu tumeipuuza,

Leo ghafla tumekuwa wa pili Afrika kwa matumizi ya technology kama takwimu hapo..

Ya kwanza Morocco iliyopata 71.6
Ya pili Tanzania iliyopata 68.8
Ya Tatu Rwanda iliyopata 68.2
Nchi hii ndogo ya Rwanda imetenga 100 millions USD maalumu kwa ajili ya kuwasupport wavumbuzi vijana ktk ICT. Mikakati hii inaonyesha watatupita kwa speed katika njozi yao ya digital Rwanda.

Kuna pesa za kigeni nyingi kweny technology, PayPal transactions kwa tanzania Kuna fursa nyingi zimekwamishwa Bila sababu sina lugha Nzuri kuelezea nitatafuta uzi husika umo JF niuweke tuelewe, fursa ya viatell villages digitization, blogs Kuna pesa huko nyingi za kigeni, software development, uandishi wa makala kwa malipo mfano listverse. Com, smart agriculture hekari moja unaweza kupata pesa ya heka mia kwa kutumia agritech, kutatua matatizo ya jamii kwa kudevelop useful apps, yupo kijana mtanzania kafanya hilo, GPS kucontrol Ajali na spidi za mabasi, etc huku na kwingineko kwa taarifa hii Tanzania tutagundua ya viwanda inapaswa kutanuliwa wigo kuacha kudhani mechanical industries na kukumbuka techindustry.

Pamoja na vote tujiongeze kwa mambo mazuri, uchadema au uccm usitupofushe tukasahau juhudi zetu. Tupongezane.....
Nimpongeze mwanajf mwenzetu pia LOGORIDDIM kwa ushuhuda wa kazi zake za ubunifu alizowahi kutueleza ushuda wa kazi zake mitandaoni zilizopata wateja nchi nyingi nje ya Tanzania kwa muda mfupi Manufaa ya Ujasiliamali kwa njia ya mtandao


Nini maoni yako....
 
Morocco, Tanzania and Rwanda lead in Africa on science, technology and innovation capacity, according to a new report.

The Africa Capacity Report made public on Tuesday was conducted by the Africa Capacity Building Foundation, a continental organization established by African governments and development partners.



laboratory.jpg

(Credits: Pixabay | Manila Bulletin)



Morocco scored 71.6, Tanzania 68.8 and Rwanda 68.2 index values, the report shows.

The calculations were made against quantitative and qualitative assessment of components including policy environment, implementation, development results at country level and capacity development outcomes.

Of the 44 countries surveyed, 20.5 percent are in the high bracket and 4.5 percent in the low bracket, while 75 percent fall within the medium bracket.

The Institute of Policy Analysis and Research (IPAR Rwanda) conducted the Rwandan case study.

Eugenia Kayitesi, Executive Director of IPAR Rwanda, said the results of the study represent Rwanda’s opportunity to achieve the Sustainable Development Goals.

“Science, technology and innovation is an enabling factor in the implementation of a number of development programs like in the health sector, water, education. It is going to be very enabling to the implementation of SDGs,” she said.

Rwanda Innovation Fund for Science and Technology has a budget of over 100 million U.S. dollars given to young innovators for research and development, specifically in the field of ICT.
Morocco leads in science & tech capacity in Africa: report
 
Na kweli tumeendelea kwa Teknolojia,si mnamkumbuka yule mbunifu waTunduma,aliyetengeneza ndege.
 
Ngoja wazee wa kuponda bila hoja wala mifano hai waje hapa,

Akili wanazo lakini wanajitoa tu ufahamu. Naona mmoja kashaanza hapo juu.

Haters uwanja wenu tena.
 
Labda watatu kutoka mwisho
Mkuu haihitaji umakanda kukubaliana na mambo mazuri ya nchi yako. This is the research sio porojo.
Kesho tutaanza kulia eti tanzania hatuna furaha kumbe stress nyingine mmejitakia kwa kupingana na ukweli.
Ukweli unakuweka huru, kubali kuwa mkweli kufurahia mambo mazuri ya nchi yako mkuu.
 
Yale yale uchumi unakua kwa kasi, teknolojia inatumiwa sana kuliko Misri/ South African , tunazalisha mainjinia wengi kwa mwaka n.k

Sasa inakuwa vipi umasikini haupungui, teknolojia haifanyi viwanda kuziduliwa kwa kasi na kilimo kwanza uzalishaji kuongezeka ?!
 
Mkuu haihitaji umakanda kukubaliana na mambo mazuri ya nchi yako. This is the research sio porojo.
Kesho tutaanza kulia eti tanzania hatuna furaha kumbe stress nyingine mmejitakia kwa kupingana na ukweli.
Ukweli unakuweka huru, kubali kuwa mkweli kufurahia mambo mazuri ya nchi yako mkuu.
GT ooops welcome back. Wape vidonge vyao watavinywa tu.
 
labda wameangalia matumizi/teknolojia ya simu maana wabongo kwa kuchati nooma!! Tumewazidi Hadi South Africa wanapounda magari etc?? Huu uongo unipitie mbali
au teknolojia yaku bashitelize vyeti eeh!
 
labda wameangalia matumizi/teknolojia ya simu maana wabongo kwa kuchati nooma!! Tumewazidi Hadi South Africa wanapounda magari etc?? Huu uongo unipitie mbali
au teknolojia yaku bashitelize vyeti eeh!
Matokeo ya kujizingira na habari hasi kwa muda mrefu kukutoa uliko kutahitaji urudi shule upya
Contact Us | The African Capacity Building Foundation
Waliofanya utafiti hawapo tanzania tena wana regional office Nairobi kwa Afrika mashariki na Kati kwa nini wasiseme Kenya...
 
Back
Top Bottom