SoC04 Tanzania tuitakayo itatimia na mfumo bora wa elimu

Tanzania Tuitakayo competition threads

Mr Mwanzo

New Member
May 3, 2024
2
19
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
 
MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana
Muhimu hii, ni kwamba soko la nyumbani la vipaji hivyo likiwa bora kiotomati wasomi watalivagaa. Tena haitakuwa wale wa nchini tu. Tufikie kiwango cha kuwavutia hadi wale wa nchi nyingine kama sasa wetu wanavyovutiwa huko.

Kuna haja ya kujifunza kama ulivyosema kwa walioweza. Mfano wa CHINA: Nadhani kijana maomi wa China alirudi nchini kwake kwa hamu kubwa maana anao uhakika kuwa atasaidiwa na serikali kuanzisha kampuni ya ujuzi aliosomea huko nje. Tena atapatiwa fungu la kutosha kuwaajiri marafiki zaje aliosoma nao nje ambao wao hawatataka kurudi nchini nwao bali waende uchina.

Na sasa, 'here is the catch'😄, serikali ya China ina hamu kubwa ya kumpatia hiyo mipesa yote na mafungu kwa sababu inajua itaenda kufanya kazi inayotakiwa. Na inajua kabisa fika kwamba, kama huyo kijana akizingua.. ... itamla kichwa, literally🤣🤣🤣🤣


KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable
Uwajibikaji, ndio neno msingi. Ahsante.
 
Muhimu hii, ni kwamba soko la nyumbani la vipaji hivyo likiwa bora kiotomati wasomi watalivagaa. Tena haitakuwa wale wa nchini tu. Tufikie kiwango cha kuwavutia hadi wale wa nchi nyingine kama sasa wetu wanavyovutiwa huko.

Kuna haja ya kujifunza kama ulivyosema kwa walioweza. Mfano wa CHINA: Nadhani kijana maomi wa China alirudi nchini kwake kwa hamu kubwa maana anao uhakika kuwa atasaidiwa na serikali kuanzisha kampuni ya ujuzi aliosomea huko nje. Tena atapatiwa fungu la kutosha kuwaajiri marafiki zaje aliosoma nao nje ambao wao hawatataka kurudi nchini nwao bali waende uchina.

Na sasa, 'here is the catch'😄, serikali ya China ina hamu kubwa ya kumpatia hiyo mipesa yote na mafungu kwa sababu inajua itaenda kufanya kazi inayotakiwa. Na inajua kabisa fika kwamba, kama huyo kijana akizingua.. ... itamla kichwa, literally🤣🤣🤣🤣



Uwajibikaji, ndio neno msingi. Ahsante.
Kabisa
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Fikra na maono bora yanayoishi kwahakika naona uzalendo kamili ndani yake natoa kongole
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Haya ni mono makubwa mono. Elimu ni mkombozi na ni njia sahihi ya kuyaendea maendeleo hapa nchini. Safi sana
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Perfect said!!!!!!!!!!
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Maono super
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Hii imeenda
 
We jam
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
We jamaa unaandika vizuri
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Kijana una maoni sahihi
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 062294591suala kuhusu sera utekelwzaji ni mdogo tu Ila zikitekerezwa tuta Piga hatua kubwa sana
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Vision
 
2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

Hili ni sahihi mno kwa Tanzania yetu
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
Hich ndo ktu tunakhtaj ili kufikia Tanzania tuitakayo elimu ndo msingi wa Kila kitu kwa kuyafta hayo Tanzania itaendelea ahsantee
 
TANZANIA TUITAKAYO INAJENGWA NA MFUMO WA ELIMU WENYE TIJA.

ELIMU: MSINGI, KING’AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE KATIKA TANZANIA TUITAKAYO.

Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kuisukuma Tanzania kupiga hatua ya maendeleo katika nyanja zingine zote ambazo elimu ni nguzo mama;

1. Uwekezaji katika utoaji elimu bora. Hapa nchini, elimu bora inatolewa na uwekezaji unaendelea kufanyika. Ukweli ni kwamba licha ya juhudi hizo bado Kuna haja ya kuongeza ufanisi katika kufikia Ile hatua ambayo katika uhalisia tunatamani kufika hapo. Tunafanyaje kufikia haya? Ni Kama ifuatavyo;

•Aina ya walimu ambao huandaliwa ukilinganisha na sera. Mfano, matumizi sahihi ya lugha ya kiingereza ambayo ndiyo hutumika kuanzia sekondari. Walimu wa masomo ya kiingereza kwa shule za msingi Wana ufanisi kuwaandaa watoto kuelekea kukabiliana na lugha hiyo kwa kuanza kuzoea mapema?. Wanafunzi wengi huzoea lugha kwa juhudi binafsi hususani wenye uwezo mkubwa wa kukariri na kuelewa haraka na kwa wakati mmoja. Hivyo, Kuna haja ya watu wenye taaluma ya lugha (linguists) kwenda kufanya kazi ya ziada katika ngazi za chini. Hii inahitaji mazingira wezeshi kutoka kwa serikali.

•Miundombinu Rafiki na wezeshi. Watoto hujifunza jambo na kuliweka akilini mapema kupitia kuona, kufananisha na kutofautisha. Majengo mazuri, upatikanaji lukuki wa vifaa vya kujifunzia na ambavyo humuwezesha kusoma/kujifunza bila shaka Wala ukakasi ni muhimu.

•Teknolojia. Vifaa vya kielectroniki vya kujifunzia havitoshi, hata vilivyopo havinufaishi hata nusu ya matarajio. Miongoni mwa sababu ni; walimu hawana utaalamu wa kutosha, walimu hugeuka kuwa wanufaika, ufuatiliaji wa taasisi ya elimu juu ya maendeleo hayo unahitaji kuongezeka zaidi.

•Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.

2. Kuiga kwenye faida.
Nchi ambazo zimepiga hatua kubwa za maendeleo ni kutokana na mafanikio ya mikakati ya elimu kombozi, chochezi na yenye tija kwenye kuharakisha maendeleo. Hivyo Kama nchi, tunapaswa kuhakikisha tunaunda tume na mabalozi ambao kazi yao sio kuzurura tu na kuingia katika historia, ni wale ambao watafanya kazi kwa kuzingatia viapo, uzalendo na kujitoa kutafuta namna sahihi ya kuleta mafanikio ndani ya miaka 5, 10, 15 au 20 kupitia elimu.

•Mfano, kwanini nchi Kama china, nchi nyingi za ulaya, marekani zimefanikiwa kutengeneza wabobezi wa masuala mbalimbali kwenye ujenzi wa Taifa na hili linatokeaje.

•Kusomesha na kusoma kwa kutanguliza uzalendo kwa maneno na vitendo. Kwamfano, wanafunzi wenye vipaji vikubwa kupewa (scholarship) kwenda kuchukua ujuzi na kuja kukutumia Tanzania pekee na sio kubaki ughaibuni kwa kigezo Cha maslahi.

MUHIMU: Kuna ulazima wa kuongeza maslahi kwa watu ambao nimewataja hapo juu kwani wapo watanzania wengi wataalam ambao wametapakaa nchi mbalimbali na wanatumiwa ipasavyo, hivyo mchango wao ni mkubwa kwenye kuchochea maendeleo ya nchi hizo ambayo sisi wenyewe tunayatamani sana.

3. Wanafunzi wanapaswa kuandaliwa kwa namna ya kufahamu malengo na namna ya kuyafikia. Pengine chini ya 20% ya wanafunzi nchini tanzania hawasomi kwa malengo yenye kuakisi uhitaji wa Taifa kupitia kutengeneza waleta maendeleo. Zaidi ya 80% ukiwauliza malengo watakwambia ni kufaulu. Kufaulu katika jambo gani kielimu ni swali gumu mno. Kuna haja ya kufuatilia uwezo wa Kila mwanafunzi na vipaumbele vyake mapema iwezekanavyo. Hii italeta tija. Yafuatayo ni muhimu katika kufanikisha hili;

•Iandaliwe mitaala na vitabu vyenye kutoa picha na mwanga kwa watoto kuhusu kazi mbalimbali za kujenga Taifa. Mfano, urubani, uanasheria, uratibu kilimo, utaalamu wa teknolojia (IT), siasa, utawala wa umma, uhandisi, uinjinia (engineering) na mengine lukiki.

•Sambamba na hilo hapo juu, Lazima kuwepo utaratibu wa kuchunguza mara kwa mara kipendeleo/vipendeleo vya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine. Lengo ni kutengeneza wasifu (profile) ambayo itakuwa inafuatiliwa Kila ngazi ya elimu Hadi pale mwanafunzi atapojipambanua juu ya umuhimu wa kufanikisha Hilo na namna ya kufanikisha. Mfano, kutambua masomo ambayo yanahusika zaidi kwenye ndoto yake n.k

4. Jamii husishwi (uhusishwaji wa jamii)
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Mfano, Lazima kuwepo na mawasiliano na ufuatiliaji kwa ukaribu baina ya mwanafunzi, mzazi, mlezi, mwalimu na viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kila mmoja anawajibika (Checks and balances). Suala hili ni hafifu zaidi katika shule za vijijin na kata ukilinganisha na shule binafsi na zile za vipaji maalumu. Kuna haja ya kutengeneza sheria, Kanuni na miongozo katika kuhakikisha ukaribu baina ya mnyororo huu unafanya kazi ipasavyo.

•Uwepo wa ripoti za ufuatiliaji wa wazazi na walezi na kuwajibishwa ikibainika mzazi hatekelezi wajibu wake
•Ripoti za ufuatiliaji wa mwalimu wa darasa kwa darasa analopewa kusimamia na viongozi wote wa shule.
•Ripoti za watendaji wa elimu, mfano maafisa elimu na waratibu

5. Sheria ya elimu iangaliwe upya kwa kuboresha na hata kuweka ulazima wa uwanibikaji kwa Kila anayehusika na elimu kuanzia kwa mzazi/mlezi, mtoto Hadi viongozi wa juu. Hii itasaidia kuongeza uwajibikaji na kupunguza uzembe wa makusudi.

KUMBUKA: Hayo yote yaliyoainishwa juu yanahitaji usimamizi wa sheria ili yaweze kumuwajibisha Kila anayehusika (binding and enforceable).

HIVYO: miundombinu & ujenzi, usafirishaji, utawala, sheria, mipango miji, mikakati, uandaaji na utekelezaji sera, shughuli zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii hutegemea uandaaji mzuri wa wataalamu ili kufanya kazi hizo.

“TANZANIA TUITAKAYO IPO MIKONONI MWA WASOMI WABOBEZI AMBAO NDIO WATOA MWANGA NA HAMASA KWA VITENDO KATIKA JAMII ZA KITANZANIA, ILA TANZANIA TUITAKAYO ZAIDI IPO KWETU WOTE WATANZANIA, HIVYO MCHANGO WETU KATIKA KUSHIRIKIANA NI MUHIMU, MUHIMU ZAIDI NA NI MUHIMU SANA”

MUWASILISHAJI: MWANZO HALFANI ABEDI
EMAIL: halfanimwanzo30@gmail.com
SIMU: 0783971301
WhatsApp: 0622945915
That's what we want big up to you
 
Muhimu hii, ni kwamba soko la nyumbani la vipaji hivyo likiwa bora kiotomati wasomi watalivagaa. Tena haitakuwa wale wa nchini tu. Tufikie kiwango cha kuwavutia hadi wale wa nchi nyingine kama sasa wetu wanavyovutiwa huko.

Kuna haja ya kujifunza kama ulivyosema kwa walioweza. Mfano wa CHINA: Nadhani kijana maomi wa China alirudi nchini kwake kwa hamu kubwa maana anao uhakika kuwa atasaidiwa na serikali kuanzisha kampuni ya ujuzi aliosomea huko nje. Tena atapatiwa fungu la kutosha kuwaajiri marafiki zaje aliosoma nao nje ambao wao hawatataka kurudi nchini nwao bali waende uchina.

Na sasa, 'here is the catch'😄, serikali ya China ina hamu kubwa ya kumpatia hiyo mipesa yote na mafungu kwa sababu inajua itaenda kufanya kazi inayotakiwa. Na inajua kabisa fika kwamba, kama huyo kijana akizingua.. ... itamla kichwa, literally🤣🤣🤣🤣



Uwajibikaji, ndio neno msingi. Ahsante.
Kwel kabsa kama ilivyo katka nch yoyot dunian elimu ndo msingi wa wa kila kitu ili kupata maendeleo ya viwanda ujenz wa barabara na mshosptal kitu kinachohtitajik pekee n elimu
 
Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na uchambuzi yakinifu kuhusu jitihadi zilizofanywa, nguvu iliyoelekezwa kwa mda wote mrefu, matokeo yake na uwiano katika matarajio ambayo aidha serikali imekuwa ikiyaweka kila mwaka na nini kifanyike ili kuleta mapinduzi ya kweli.
Nimeipenda hii sentensi ilivyokaa. Ki Kaizen yaan kila siku tunafanya viziluri zaidi, tunatafiti na kufanyiabkazi matokeo. Continuous improvements

Vilevile, sera za elimu zinapaswa kutekelezwa kimikakati zaidi. Mfano, wanafunzi wenye uelewa mkubwa zaidi na vipaji wanapaswa kufahamu mapema maelekezo kwa vitendo. Suala la mwanafunzi kufeli ndipo anapelekwa kwenye mafunzo kwa vitendo (VETA) ni kudhoofisha utaalam na kuwapoteza wataalam wenye vipaji. KIPAJI NA ELIMU ni sera nzuri kwa mtazamo wangu. Ili kuwezesha hili ni Lazima kutengeneza mazingira sahihi ya kung’amua vipaji hivyo na kuviendeleza na si vinginevyo.
Kweli asee, hata mi ninataka boda yangu ikatengenezwe na fundi mwenye akili na uelewa wa juu kuhusiana na vyombo vya moto ikibidi hata jiniazi kabisa. Kama tu ninavyopenda nitibiwe na daktari jiniazi, nifundishwe na mwalimu jiniazi. Nzuri
 
Back
Top Bottom