Edson Eagle
Member
- Apr 20, 2024
- 26
- 11
Serikali katika suala la elimu ihakikishe
- Inatatua changamoto ya uhaba wa walimu kwa baadhi ya shule
- Ukosefu wa vifaa vizuri vya kufundishia na kujifunzia
- Kuongeza mashule hususani katika maeneo yenye uhaba wa shule
- Kuandaa mitaala itakayowafanya wanafunzi kujifunza uhalisia wa changamoto zilizopo katika jamii na namna ya kuzitatua(elimu ujuzi)
- Kuboresha mazingira na miundombinu (kama maji, umeme, madarasa, maktaba za vitabu na madawati) ya shule mbalimbali iwe yenye kuvutia kwa kujifunzia
- Kuhakikisha adhabu zote zenye kuleta mtizamo hasi juu ya elimu kwa wanafunzi zinaondolewa, na
- Kuhakikisha walimu wanatekeleza majukumu yao ipasavyo.