Tanzania (Taifa stars) v/s Msumbiji (The Mambas)

Mazoezi wanafanyia Tukuyu kwenye baridi kali kwa ajili ya mechi ya Dar! Sayansi gani ya mazoezi!!?? Ajabu ya TFF na kamati zao za ufundi
 
Wangeanzisha mashindano ya kujisifu na ubishi, hapo TZ tungeshinda tu.
Kwenye soka, aaaaaaaaaagh! afadhali ya Brazil/spain.
 
Mazoezi wanafanyia Tukuyu kwenye baridi kali kwa ajili ya mechi ya Dar! Sayansi gani ya mazoezi!!?? Ajabu ya TFF na kamati zao za ufundi

Malinzi aliulizwa swali hilo kule kwenye uzi wake lakini alijibu kiaina kwamba mechi haitafanyikia Dar ila siku chache baadaye wadau wakafukunyua taarifa kua mechi ingechezwa Dar, jamaa akaulizwa tena safari hii akaruka sarakasi akisema bado hawajajua na itakapojulikana itatangazwa. Leo tumeshuhudia mechi Dar kwenye joto kubwa ila mazoezi Mbeya kwenye kiubaridi.
 
Haya TFF tupeni hesabu ya mapato,maana ndio zenu kuangalia mapatao badala ya kujipanga.
Viiingilio kubwaa,mashabiki hakuna.
Na Msumbiji kwao subiri muone,wataingiuza mashabiki uwanja mzima.Tukifika kule ni kichapo tu,maana tunasubiria miujiza.
Maana hamjuui umuhim wa Mashabiki uwanjani mtaujua mkienda kwao.
Yaani TFF leo ndio nimekeraka zaidi,maana nimeona mwenyewe jinsi uwanja kama ule ulivyo mweupe.Au hamjui kama mashabiki ni mchezaji wa ziada?Nyie Pesa tuuu
Mungu wasaidie msumbiji washinde mechi ya ijayo mbele ya umati wao wa mashabiki,maana ni bora yule aliejipanga kuliko yule mwenye kubahatisha "AMEEN"
 
Mazoezi wanafanyia Tukuyu kwenye baridi kali kwa ajili ya mechi ya Dar! Sayansi gani ya mazoezi!!?? Ajabu ya TFF na kamati zao za ufundi

Ahaa haa et Tukuyu hakuna vishawishi vya madem


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Malinzi aliulizwa swali hilo kule kwenye uzi wake lakini alijibu kiaina kwamba mechi haitafanyikia Dar ila siku chache baadaye wadau wakafukunyua taarifa kua mechi ingechezwa Dar, jamaa akaulizwa tena safari hii akaruka sarakasi akisema bado hawajajua na itakapojulikana itatangazwa. Leo tumeshuhudia mechi Dar kwenye joto kubwa ila mazoezi Mbeya kwenye kiubaridi.

Ni usanii wa bongo huo! Tunahitaji kuwa serious na mipango yetu kama tunataka ushindi
 
Wangeanzisha mashindano ya kujisifu na ubishi, hapo TZ tungeshinda tu.
Kwenye soka, aaaaaaaaaagh! afadhali ya Brazil/spain.

umenikumbusha kauli ya Rithwan Kikwete leo asubui Star TV,anasema kama JK hampendi Lowasa basi Lowasa asingekuwa hai
 
Ni usanii wa bongo huo! Tunahitaji kuwa serious na mipango yetu kama tunataka ushindi

Kule kwenye uzi wake malinzi hashauriki, kafungua uzi sijui ili asifiwe tu? Maana akikosolewa anahamaki badala ya kuchukulia ukosolewaji kama changamoto na njia ya kujifunza zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom