Mimi kinachoniuma ni kuwa pamoja na kila sehemu nchi hii inapigwa ila nimekosa connection yaani sijawahi pata deal la milioni 1 la kifisadi.Tanzania tumebarikiwa Mungu ametupa ila kitu isipokuwa akili tu ya kutumia vitu hivyo vizuri tuna madini ya kila aina dhahabu, almasi ,makaa ya mawe ,graphite, ruby ,tanzanite n.k
Mbuga za wanyama nzuri yenye kuvutia milima mizuri kma kilimanjaro maziwa na bahari nzuri lkn hivo vitu vyote bado tanzania ni nchi masikini how??
Viongozi wachumia tumbo wapigaji wanaiharibu nchi yetu
Ufisadi wakufa mtu anamiliki madola ndani inatia kichefuchefu
haya ndo madhara ya propaganda za Ccm mashuleni ya msingi hasa Tanzania ni nchi masikini sana.Tanzania tumebarikiwa Mungu ametupa ila kitu isipokuwa akili tu ya kutumia vitu hivyo vizuri tuna madini ya kila aina dhahabu, almasi ,makaa ya mawe ,graphite, ruby ,tanzanite n.k
Mbuga za wanyama nzuri yenye kuvutia milima mizuri kma kilimanjaro maziwa na bahari nzuri lkn hivo vitu vyote bado tanzania ni nchi masikini how??
Viongozi wachumia tumbo wapigaji wanaiharibu nchi yetu
Ufisadi wakufa mtu anamiliki madola ndani inatia kichefuchefu
Hahaha..😂 ndio umeshtuka Leo mkuu.Tanzania tumebarikiwa Mungu ametupa ila kitu isipokuwa akili tu ya kutumia vitu hivyo vizuri tuna madini ya kila aina dhahabu, almasi ,makaa ya mawe ,graphite, ruby ,tanzanite n.k
Mbuga za wanyama nzuri yenye kuvutia milima mizuri kma kilimanjaro maziwa na bahari nzuri lkn hivo vitu vyote bado tanzania ni nchi masikini how??
Viongozi wachumia tumbo wapigaji wanaiharibu nchi yetu
Ufisadi wakufa mtu anamiliki madola ndani inatia kichefuchefu
Sio kweli tunaweza kufaidika vizuri kama serikali ikiwa chini ya wazalendoKitu ambacho hujui ndugu kama endapo kila Mtanzania atataka kunufaika na utajiri uliopo, ndipo tutakapo itwa nchi yenye vita na ishyo na amani kama CONGO , uchaguzi ni wako kunyua au kusuka...
Nakuelewa sana ndugu mawazo yako, shida ni kwamba hao ambao wamezoea kunufaika hawata kubali kukosa hivhiv, ndipo huanzisha makundi ya uasi, asilimia kubwa Nchi nyingi zenye vita zinakumbwa na migogoro ya kuwania malighafi muhimu.Sio kweli tunaweza kufaidika vizuri kama serikali ikiwa chini ya wazalendo
Danganya toto, siku hizi watu sio mafala bwasheeHivyo mlivyobarikiwa mnavyo ninyi pekeenu duniani??
Ongezeni juhudi, ubunifu na maarifa.Danganya toto, siku hizi watu sio mafala bwashee
Kwahiyo bora wale wachache wengine tukabakie kuwa mafukaraKitu ambacho hujui ndugu kama endapo kila Mtanzania atataka kunufaika na utajiri uliopo, ndipo tutakapo itwa nchi yenye vita na isiyo na amani kama CONGO , uchaguzi ni wako kunyua au kusuka...
Tunafanya km nepal safisha safisha kwnz hawatakiwi kuishi ni risasi tuNakuelewa sana ndugu mawazo yako, shida ni kwamba hao ambao wamezoea kunufaika hawata kubali kukosa hivhiv, ndipo huanzisha makundi ya uasi, asilimia kubwa Nchi nyingi zenye vita zinakumbwa na migogoro ya kuwania malighafi muhimu.
Hiyo siyo maana yangu, hapa ni kupambana uingie kwenye sisitimu kwa njia yoyote ile ya haki au halamu, ila si kwa kudai haki hutaipata kamwe zaidi ya kupigwa vita.Kwahiyo bora wale wachache wengine tukabakie kuwa mafukara