Tanzania Says Acacia Mining Won't Be Allowed Role in Country

Huyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.
uchagadema ndio unakusumbua
 
Ha ha ha, naona umeleta habari, halafu umecomment mwenyewe. Bro mambo mengine acha yapite mwishowe utakufa kwa pressure ya mambo ambayo hata hayana maslahi kwa wanaokutegemea.

Just concerntrate on what you do, hayo mengine waachie walioamua hiyo iwe kazi yao na wanaendesha maisha kwa kazi hiyo unless you are one of them.
Anajaribu Kuwaita vibendera wenzie
wapeane Sifa
 
Watadaije fedha kubwa kiasi hicho wakati mtaji waliowekeza haufiki kiasi hicho na wamekuwa wakidai hawajawahi kupata faida ndio maana hawakuwa wakilipa kodi itokanayo na faida.
POLE SANA. Hiyo ndio mikataba muliyoipitisha WENYEWE na kusaini kwa mbwembwe huku mkishindana kuwabeza na kuwatimua bungeni wale wenye uzalendo wa kweli waliopingana nanyi, makijani.
NAE aliyejaribu kuwaambia ukweli na namna salama ya kujitoa, mkamcharanga marisasi na bado mnamwandama mpaka leo.
 
Ha ha ha, naona umeleta habari, halafu umecomment mwenyewe. Bro mambo mengine acha yapite mwishowe utakufa kwa pressure ya mambo ambayo hata hayana maslahi kwa wanaokutegemea.

Just concerntrate on what you do, hayo mengine waachie walioamua hiyo iwe kazi yao na wanaendesha maisha kwa kazi hiyo unless you are one of them.

Nadhani hujaelewa au pengine hujasoma hiyo habari. Habari hii imeandikwa na Keneth Karori; siyo ya mleta uzi.
 
Acha ujinga na roho ya husuda kesi ndiyo nini acacia haitambuliki basi aje barrick tuongee sisi niwenye nyumba Mpangaji hapangi ukarabati wa nyumba pasipo mwenye nyumba kufahamu.
Huyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.
 
Ha ha ha, naona umeleta habari, halafu umecomment mwenyewe. Bro mambo mengine acha yapite mwishowe utakufa kwa pressure ya mambo ambayo hata hayana maslahi kwa wanaokutegemea.

Just concerntrate on what you do, hayo mengine waachie walioamua hiyo iwe kazi yao na wanaendesha maisha kwa kazi hiyo unless you are one of them.
Kila siku huyu mpuuzi BAK huwa namweleza aachane na roho mbaya yake kwa Magu hasikii. Mpaka uso unazeeka wakati ni kijana mdogo
 
Huyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli anafanya makosa kadhaa, kubwa likiwa kuteka Watanzania wanaotoa kauli asizopenda.
Lakini katika hili la Acacia, na madini kwa ujumla, Rais Magufuli yuko sahihi kwa asilimia mia moja.
Hizo $1.3b zinaonekana ni nyingi sana, lakini unajua Acacia walikuwa wanavuna dola bilioni ngapi kwa mwaka?
Huyo Barrick Gold, ndiye aliyebuni huyo mtoto aitwaye Acacia kwa lengo la kuficha dhambi zake za kumwaga sumu katika Mto Tegiti, huko North Mara, miaka ya nyuma, wakati anavuna dhahabu zetu kwa jina la African Barrick Gold.
Alichofanya ni 'kupunguza risk' kwa kugawa theluthi ya hisa zake kwa mabeberu wenzake wenye uchu wa kuvuna dhahabu Tanzania.
Sasa hivi tunamwona beberu Barrick kama kampuni njema ya kufanya nayo mazungumzo, hili ni jambo la kushangaza sana!!
Nionalo hapa ni Watawala wapya wanaotaka kupata kitu kidogo baada ya kuona watawala wa zamani walishamaliza mgao wa bakshishi kutoka Barrick na mwanae Acacia.
Suluhisho?
Sheria iliyopitishwa ya kugawana faida, Miscellaneous Amendment Act No. 7 of 2017, iende mbele zaidi, ili hisa ziwe 50 kwa 50, ili mpaka kwenye utawala, iwe nusu kwa nusu, ili tusidanganywe.
Hili la Barrick au Acacia ni kiini macho.
Ni kitu mmoja, maana asilimia 64 ya Bodi ya Acacia ni wateule wa Barrick. Ni propaganda tupu ukisikia kuwa Acacia inavutana na Barrick.
Nani anaamini kuwa asilimia 64 ya Bodi ya Acacia, (ambayo ni Barrick), inapingana na Barrick?
Wake up Tanzania
 
Hivi mnajua kuwa hawa Barrick na hao hao ACACIA.
BARRICK walibadili tu jina la kampuni mwaka 2012 ndo kampuni ikawa inaitwa ACACIA.
 
Acha ujinga wako wewe kuandika ukweli kuhusu huyo nduli na dikteta si roho mbaya. Sijawahi kuteka mtu, kumshambulia wala kuua Mtanzania yeyote yule ukilinganisha na huyo MUUAJI. Acha upumbavu wa kujifanya unanijua. Ujinga wako si humu.

Kila siku huyu mpuuzi BAK huwa namweleza aachane na roho mbaya yake kwa Magu hasikii. Mpaka uso unazeeka wakati ni kijana mdogo
 
Angalia kamongo mwingine huyu, huyo dikteta alikuwepo bungeni wakati mikataba inasainiwa mbona hakutia neno? Aliomba kusoma hata details za mkataba kabla ya kugonga meza na kuitikia ndiyoooo ili kupitisha mikataba hiyo!?

Tatizo lenu nyinyi wapumbavu kama wewe hamuukubali ukweli kwamba tuna wahuni wanaojivisha ngozi ya uongozi. Wao wanakuwa mabilionea kupitia mikataba FAKE ambayo haina manufaa yeyote kwenye nchi. Hawakuwewa bunduki kupitisha mikataba hiyo na wanajua fika kwamba haina maslahi kwa nchi ndiyo sababu wanaifanya siri baada ya kuipitisha haraka haraka eti kwa DHARURA.

Wapumbavu kama wewe ndiyo mnawapa kichwa Hawa wahuni, majizi na mafisadi yaendelee kuliibia Taifa. Last year 2.4 trillions disappeared in a thin air but you don’t say anything on that issue.

Hasara kubwa kwa nchi kuwa na majuha kama wewe.

Acha ujinga na roho ya husuda kesi ndiyo nini acacia haitambuliki basi aje barrick tuongee sisi niwenye nyumba Mpangaji hapangi ukarabati wa nyumba pasipo mwenye nyumba kufahamu.
 
Huyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.

Mbona Tundu alishawaambia wafungue siku nyingi tu?
 
Kwani wana haraka gani? Tutajifunza tu kuheshimu mikataba ya Kimataifa tutake tusitake. Mbona nchi nyingi duniani zenye rasilimali zinasaini mikataba yenye manufaa kwenye nchi zao hata nchi za Afrika sisi Tanzania kuna tatizo lipi!? Kwani huwa tunalazimishwa kusaini hiyo mikataba isiyo na maslahi!? Na kwanini hiyo mikataba hata bungeni haipelekwi ikajadiliwe kabla ya kusainiwa rasmi bali inapitishwa KINYEMELA!? Kwa faida ya nani!? KULIKONI!?
😳😳😳


Mbona Tundu alishawaambia wafungue siku nyingi tu?
 
Angalia kamongo mwingine huyu, huyo dikteta alikuwepo bungeni wakati mikataba inasainiwa mbona hakutia neno? Aliomba kusoma hata details za mkataba kabla ya kugonga meza na kuitikia ndiyoooo ili kupitisha mikataba hiyo!?

Tatizo lenu nyinyi wapumbavu kama wewe hamuukubali ukweli kwamba tuna wahuni wanaojivisha ngozi ya uongozi. Wao wanakuwa mabilionea kupitia mikataba FAKE ambayo haina manufaa yeyote kwenye nchi. Hawakuwewa bunduki kupitisha mikataba hiyo na wanajua fika kwamba haina maslahi kwa nchi ndiyo sababu wanaifanya siri baada ya kuipitisha haraka haraka eti kwa DHARURA.

Wapumbavu kama wewe ndiyo mnawapa kichwa Hawa wahuni, majizi na mafisadi yaendelee kuliibia Taifa. Last year 2.4 trillions disappeared in a thin air but you don’t say anything on that issue.

Hasara kubwa kwa nchi kuwa na majuha kama wewe.
Unachosema kinaweza kua au la kwakua barrick anataka kununua his a za Acacia akashia hataki kwako wewe usiye mpumbafu kati ya Barrick na Acacia nani anatambulika na serikali jibu ni Barrick kwa maana hiyohiyo hapa Acacia anamshitaki nani?povu limekua jingi kweli nikadhani huyu mwakilishi wa Acacia nini kwanini asimuone mkulu moja kwa moja kama wewe ulivyoliona shida moja wewe unachuki zako binafsi zimekupofusha hutauona ukweli utabaki kupiga porojo tu.
 
Ha ha ha, naona umeleta habari, halafu umecomment mwenyewe. Bro mambo mengine acha yapite mwishowe utakufa kwa pressure ya mambo ambayo hata hayana maslahi kwa wanaokutegemea.

Just concerntrate on what you do, hayo mengine waachie walioamua hiyo iwe kazi yao na wanaendesha maisha kwa kazi hiyo unless you are one of them.
Wewe ni akili ndogo,ACACIA wakitudai 1.3b usd hiyo haina maslahi kwa wanaomtegemea?Huyu Mungu huyu anawaondoa Dunia akina Mengi anatuachia majanga kama haya?
 
Wewe ni akili ndogo,ACCASIA wakitudai 1.3b usd hiyo haina maslahi kwa wanaomtegemea?Huyu Mungu huyu anawaondoa Dunia akina Mengi anatuachia majanga kama haya?
ACCASIA= Akili kubwa😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom