Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Akili ndogo huwa zinashughulka na petty issues.umeona ee,hata hivyo nimeedit asanteACCASIA= Akili kubwa😂😂😂😂😂
Akili ndogo huwa zinashughulka na petty issues.umeona ee,hata hivyo nimeedit asanteACCASIA= Akili kubwa😂😂😂😂😂
Hivi Kwann hamtaki serikali ya tanzania ifaidi raslimali zake kwa mstakabali WA wanannchi mmekazania ukibaraka tuuuuuuuuHuyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.
Amekosea ID..Alidhan ni ile ingineHa ha ha, naona umeleta habari, halafu umecomment mwenyewe. Bro mambo mengine acha yapite mwishowe utakufa kwa pressure ya mambo ambayo hata hayana maslahi kwa wanaokutegemea.
Just concerntrate on what you do, hayo mengine waachie walioamua hiyo iwe kazi yao na wanaendesha maisha kwa kazi hiyo unless you are one of them.
Unawezaje kuwa akili kubwa wakati vitu vidogo kama hivi vinakusumbua Bob. Nimefanya hivo just to show how ignorance you are.Akili ndogo huwa zinashughulka na petty issues.umeona ee,hata hivyo nimeedit asante
oooh asante mkuu.ila nafurahi umekubali wewe ni akili ndogo,ndo maana unaona pesa ambayo Tanzania inadaiwa haina maslahi kwa watoto wako,ila chenye maslahi kwao kwa akili yako ni petty issues,mshahara wako,biashara yako,ugali,mboga and the likeUnawezaje kuwa akili kubwa wakati vitu vidogo kama hivi vinakusumbua Bob. Nimefanya hivo just to show how ignorance you are.
Bingwa sijataka kuargue kwa sababu huna hadhi hiyo, hata hiyo comment yangu nikuhakikishie kwako ni bonge la credit. Ndio maana nikaona nikuonyeshe ulivo mbumbumbu by just show you hata kuandika huwezi.oooh asante mkuu.ila nafurahi umekubali wewe ni akili ndogo
Great,ndo maana nikasema wewe ni mzee wa petyy issues so uko sawa wewe si wa level yangu.Wa level yangu wanaangalia content na si Speeling wala grammar, wameshavuka leo hiyo.Actually last week before my trip back, we were discussing the same with my colleagues in DCBingwa sijataka kuargue kwa sababu huna hadhi hiyo, hata hiyo comment yangu nikuhakikishie kwako ni bonge la credit. Ndio maana nikaona nikuonyeshe ulivo mbumbumbu by just show you hata kuandika huwezi.
Great,ndo maana nikasema wewe ni mzee wa petyy issues so uko sawa wewe si wa level yangu.Wa level yangu wanaangalia content na si Speeling wala grammar, wameshavuka leo hiyo.Actually last week before my trip back, we were discussing the same with my colleagues in DC
[/QUO
Huwezi kuwa na akili kubwa, halafu vitu vidogo vinakupa shida Bingwa. Hilo tu limenifanya nione uwezo wako ni mdogo mno. First impression imemaliza kila kitu bingwa.
Na nimeona hapo juu acacia wanasema gvt haitaki mazungumzo nayo sasa kuliko kuvutana bora wazungumze moja kwa moja na acacia na sio barrick la sivyo barrick ndio walipe hiyo pesaHuyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.
"by just show you" ..... hahaaaBingwa sijataka kuargue kwa sababu huna hadhi hiyo, hata hiyo comment yangu nikuhakikishie kwako ni bonge la credit. Ndio maana nikaona nikuonyeshe ulivo mbumbumbu by just show you hata kuandika huwezi.
Sijijui njoo huku."by just show you" ..... hahaaa
Mkoseaji wa tense pale anapo mkosoa mkoseaji wa spelling!
Tutafika tu. Nasubiri na mimi kukosolewa, ni mwendo wa kurekebishana tu.
Mkuu niliona ila sikutaka kuhangaika nae,mwache and aendelee kuhangaika na petty issues
Hii nchi sio yake na tukilipishwa haya mabilioni ni pesa za watanzania kodi zetu za kufanyia maendeleo sio kufanyia mchezo na wehu .Ha ha ha, naona umeleta habari, halafu umecomment mwenyewe. Bro mambo mengine acha yapite mwishowe utakufa kwa pressure ya mambo ambayo hata hayana maslahi kwa wanaokutegemea.
Just concerntrate on what you do, hayo mengine waachie walioamua hiyo iwe kazi yao na wanaendesha maisha kwa kazi hiyo unless you are one of them.
Hivi Kwann hamtaki serikali ya tanzania ifaidi raslimali zake kwa mstakabali WA wanannchi mmekazania ukibaraka tuuuuuuuu
Unachosema kinaweza kua au la kwakua barrick anataka kununua his a za Acacia akashia hataki kwako wewe usiye mpumbafu kati ya Barrick na Acacia nani anatambulika na serikali jibu ni Barrick kwa maana hiyohiyo hapa Acacia anamshitaki nani?povu limekua jingi kweli nikadhani huyu mwakilishi wa Acacia nini kwanini asimuone mkulu moja kwa moja kama wewe ulivyoliona shida moja wewe unachuki zako binafsi zimekupofusha hutauona ukweli utabaki kupiga porojo tu.
Wamechemka Kila kesi inatakiwa kufunguliwa Tanzania and not otherwiseHuyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.
kwa upeo wako unacho kisoma na uchongo ongea ni vitu tofauti tumika kichwa kuwaza na sio miguuHuyo nduli na dikteta wa Ikulu AKIKURUPUKA na kuufuta mkataba kinyemela imekula kwetu. Nilisoma hapa jamvini kwamba kabla ya mwisho wa mwezi huu ACACIA watafungua kesi ya madai ya $1.3 billion majuu.
kwa upeo wako unacho kisoma na uchongo ongea ni vitu tofauti tumika kichwa kuwaza na sio miguu